Nani anayekuvutia kwa post zake katika jukwaa hili?

sasa tutaanza kukaa tena vikao vyetu pale migombani maana wewe na nguli tumewapata sasa ni kazi kumsaka geof na kumualika mpwa mpya superstar tehe tehe
Ewaaaaaaaa...uchaguzi umepita sasa kazi imebaki moja....Eat them beers!
 


mmmmhh baba watooo
unataka kunipa magonjwa ya moyo au ndo vipi tena..
watoto bado wachanga sana nani atawanyonyesha ..??
hahahahahah lol
asante sna mkuu.. na we ubarikiwe hata mi napenda gana poster zako na picha unazowekaga....
 
Mchungaji hebu ntake radhi. mi kikojoleo changu ni cha kushikilia bana. Afu nshakula chumvi ya kutosha....

Hahahaahah nasikia ulilewa siku moja ukaingia choo cha kike! Ili kuuwa so ulichuchumaa kufanya mambo
 
hahahahahaaa..tumekukamata mpwa, siku hizi gongo mtindo mmoja mitaa ya migombani.

Kuna swali nimemuuliza mchungaji bado sijapata jibu,hivi kama wewe ni mfanyabiashara wa gongo na akaja mwizi akakuibia gongo yako yote,utamshitaki wapi?
 
Humu ni full kushukiana fulani ni fulani...bonge la zoezi hilo
 
mmmmhh baba watooo
unataka kunipa magonjwa ya moyo au ndo vipi tena..
watoto bado wachanga sana nani atawanyonyesha ..??
hahahahahah lol
asante sna mkuu.. na we ubarikiwe hata mi napenda gana poster zako na picha unazowekaga....



Mashalaaaah, naona leo umeniita kwa cheo changu kabisaaaaaaa subiri kidogo nikutafutie dedication ya kusindikizia ujumbe huu.
 
Sijui huyu Burn kalala wapi jana, basi kaamka na mi hasira yakee anatwanga tu linalokuja kichwani, atakua kapigwa kibuti na darii wake huyu.

moyo wataka majibu,
kimwana uje nitibu,
mwenzako wanipa taabu,
kwa kihoro cha zabibu,
uje unipezo mbivu,
nishamaliza uvumilivu,
moyo wangu uchakavu,
wameniweka rizevu,
uje kunipa faraja,
nigeuze niwe teja,
kwa penzi lako la haja,
nifiche kwa yako mapaja.
wasije wale mashoga,
mapenzi kuya vuruga,
tukakosa kujichunga,
mwishowe nikawa mega.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…