Nani anayekuvutia kwa post zake katika jukwaa hili?

Mashalaaaah, naona leo umeniita kwa cheo changu kabisaaaaaaa subiri kidogo nikutafutie dedication ya kusindikizia ujumbe huu.

hahahahah lol...
asante sana mkuu...
bado nasikiliza zile ulizonitumia lol
 
Hii ndiyo nini? Au mmenogewa na mahubiri ya mchungaji na kuanza kunena kwa lugha!
Haaaaa mi mwenyewe sijui wameniambukiza, nimeshtuka nshaanza kuongea kama wao sijui ki yahudi hicho haa haaa wachungaji wengine bwana sijui ma upako au nini.
 
QUOTE=Burn;bhe bhe nkima, waupelaga mlugo

Nyanhokho.
 

Hii thread yako haina maana yoyote we paka mweusi. Wewe weka mada yenye akili hapa tujadili
 


Mtoto msikie kijana Ban penzi umtunuku
Tunajua zako tabia hasa za kudandia tukutuku
Yeye atakupatia yako moja maskani uthubutu
Wako wengi watajigonga na ila kwako hawafurukuti,
Kama yupo mwingine analeta mushkari tutamgeuza kuti
Kijana kwa mikogo anatisha jitahidi kumwona ktk yake suti
 
kwani wewe sio demu?

mimi naona Demu ni jina la kihuni na si sawa kumwita msichana yeyote hivyo...
ni sawa ukiwa unaongea na marafiki zako wengine wa kiume namna hiyo....
kama kuna wengine wanapenda kuitwa hivyo hiyo safi..
binafsi silitaki...
kama huwezi kunipa jina la kheshma niite Afrodenzi ...
samahani kama nimekukwanza lakini napenda kuweka things straight forward from beginning...

AD
 

Hao walobadili ID zao nakujiita za kike watakua 50, 50 hao, haiwezekani mwaume wa ukweli ajipe jina la kike, hao wanajinsia mbili, au ndo hivyo hamsini hamsini mpaka wa bustiwe.
 
JF Senior Expert Member

Join DateFri Sep 2010LocationUkune,Posts790Thanks129Thanked 263 Times in 180 PostsRep Power22
Ngoja nijitathmini mwenyewe leo hii,thanked 263 times in 180 posts,na nimeshatuma 791 posts,hivyo sio mbaya kwa kuwa nina average ya thanks moja kwa kila post tatu.Malaria Sugu una uwiano upi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…