Nani anayekuvutia kwa post zake katika jukwaa hili?

niliandika afr... kama wewe ulivyoikopi, sasa sioni uhusiano na wewe kupaniki maana afr...si afrodenzi

mmmhh asante sana kwa kunifanya mi mjinga ulisema "kwa hiyo hawa mademu wapya akina Afr"
kama nilikosea samahani sana lakini ningependa sasa unifafanulie sentensi yako...
 
Baby nilishakuambia toka zamani kuwa kila ninachokifanya kwako kuonyesha mapenzi yangu naona hakitoshi naomba uniruhusu tu niendelee na madedication Laaziz wangu...

hahahahahah lol
Paka wewe..
mmmhh ur so romantic...
asante nakupendaga bure kwa sababu unaheshima kwa wanawake na wasichana wote ...
nafuatiliaga sana poster zako mpendwa...lol
 

You deserve to be a GREAT THINKER, umemjibu vizuri dogo. Silence could be a good answer to fool as spoken by mzungu and mzarau mjinga kuepuka balaa.
 
ningependa zaidi kama next time uandike kinachoeleweka na si kutuchanganya wote...
i will apologies for my reaction "Sorry"

accepted, na wewe next time kabla hauja react soma vizuri post.
 
accepted, na wewe next time kabla hauja react soma vizuri post.

wewe mmmhhh umeandika Afr..
kila mtu anaeanzia na jina hilo huku ndani lazima ange react
either in bad or good way.....
hiyo poster hata ningesoma mara mia bado ninge react the way i did...
 
bado ligi yenu na baba mchungaji inaendeleaga tu?
Huyu mchungaji wa kondoo wa kike anapoteza kondoo wa Bwana.Nimetumwa kuja kuwakomboa hawa wanakondoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…