Wcb[emoji15] [emoji15] [emoji15] kaingia lini?? Aisee ndo keshapotea huyo
CURICULLUMNimetoka kuiona video yake ya wimbo wa Likizo hivyo nimevutiwa kujua meneja wake wa sasa ni nani?
Na wengine mbona siwaskii maromboso na enock nawaskia aslay na beka tu , namkubaligi maromboso cjui nn tatizo
Sent using Jamii Forums mobile app