Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeyote anaeza kuanza kwa kumsoma mwenzie maana mf: mwanamke kama ukiona mwanaume yupo yupo unaeza kumuulizaanampango gani na ndoa maana usipoangali unaeza zeekea kwenye uhusiano mwanaume kadili anavyozidi kuzeeka ndo anavyozidi kutamani kuoa watoto wadogo, ila sie tunavyopoteza mvuto na uzee kutunyemelea habari yetu inaishaWana JF Wenzangu Naomba Mchango Wa Mawazo Yenu Juu Ya Swala Hili
Kati Ya Mwanamke Na Mwanamume Walio Katika Mahusiano Ya Kimapenzi Ni Nani Anapaswa Kutamka Kwa Mwenzie Uhitaji Wa Kufunga Ndoa?????
haswaMgonjwa ndio humfuata daktari..
li ID yako jiite "empty brain" maana hauezi kucoment popote bila kutamka hilo nenoEmpty brain kabisa..unawaza kutamka ili iweje..acha fikra mpakato dogo