Kwa vyovyote vile huenda bingwa akawa ni UJERUMANI tena.
Uwezo wao kisoka katika timu yao ya taifa umeongezeka maradufu zaidi toka watwae kombe la dunia mwaka 2014.
ARGENTINA anaenda kuchukua mapemaa.itapendeza mno kwa timu pendwa yenye jina zuri lenye kuvutia na wachezaji wake almost wote wana discipline ya hali juu.