Ha ha ha dah mkuu unapiga short and Clear duh...Jamaa inaonekana hata boxing siyo mfatiliaji.
Wewe huna. Akili hao weight tofautiHebu eleze kulingana na vigezo hivi
Speed(uharakawalionao je unazidiana au unalingana)
Weight(uzito wao)
Height(urefu)
Check hizi highlight
Kwa Anthony Joshua'
Alafu check za Floyd mayweather
Kuna Jamaa alikuwa anauliza kwenye mtandao flani unaitwa quota ila kwa majibu aliyopata ni haya haya kuwa haeawezi pambanishwa kutokana na uzito wao but nilivutiwa sana na Anthony Jamaa yuko vizuri nikasema moyoni je hawawazi kupambana kisa uzito kwa sababu ndo sheria day! Nilikuwa sifaham kuhusu ilo kama ni sheria wadau ila ndo mchezi napenda kuliko ball
Quora.Kuna Jamaa alikuwa anauliza kwenye mtandao flani unaitwa quota ila kwa majibu aliyopata ni haya haya kuwa haeawezi pambanishwa kutokana na uzito wao but nilivutiwa sana na Anthony Jamaa yuko vizuri nikasema moyoni je hawawazi kupambana kisa uzito kwa sababu ndo sheria day! Nilikuwa sifaham kuhusu ilo kama ni sheria wadau ila ndo mchezi napenda kuliko ball