saidi kindole
JF-Expert Member
- Sep 21, 2012
- 310
- 792
Ndugu wana jf.
Nafahamu kuwa baada ya kukamilika mchakato wa katiba mpya wanachi itabidi tuipigie kura ya maoni ya ndio au hapana rasimu hiyo, sasa nataka kufahamu hiyo ndio na hapana ni mawakala gani watakaosimamia hizo ndio na hapana? Kwani katika kura za kawaida huwa vyama vya siasa vinaweka mawakala wao je kura hizi tume ya uchaguzi itahesabu kura peke yao? Tujadili
Nafahamu kuwa baada ya kukamilika mchakato wa katiba mpya wanachi itabidi tuipigie kura ya maoni ya ndio au hapana rasimu hiyo, sasa nataka kufahamu hiyo ndio na hapana ni mawakala gani watakaosimamia hizo ndio na hapana? Kwani katika kura za kawaida huwa vyama vya siasa vinaweka mawakala wao je kura hizi tume ya uchaguzi itahesabu kura peke yao? Tujadili