Sheria ya Mabadiliko ya Katiba [Sura ya 83 Toleo la mwaka 2012]
29
Utaratibu wa kuendesha kura ya maoni Sura ya 343, 292 Sheria Na.11 ya 1984(Z)
35. Utaratibu wa uendeshaji wa Uchaguzi Mkuu chini ya Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sheria ya Uchaguzi ya Zanzibar ya mwaka 1984 na Sheria ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na kwa kufanya marekebisho yatakayolazimu, utatumika katika kuendesha kura ya maoni kwa mujibu wa Sheria hii.