Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,690
Hapa Tanzania ikitokea ikatakiwa watoto wapige kura za siri kumchagua mzazi wanayempenda sana je kati ya baba na mama yupi atapata kura nyingi zaidi katika makundi yafutayo na ni kwanini unafikiri huyo ndiye atapata kura nyingi katika kundi hilo?
Kundi No.1. WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 18
Kundi No.2. WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA 18 NA KUENDELEA
Assumption: Kila familia ina wazazi wote wawili wakiwalea watoto wao
Kundi No.1. WATOTO WENYE UMRI CHINI YA MIAKA 18
Kundi No.2. WATOTO WENYE UMRI WA MIAKA 18 NA KUENDELEA
Assumption: Kila familia ina wazazi wote wawili wakiwalea watoto wao