Nani atuonya kocha wa yanga Mwinyi Zahera kwa uchochezi huu???

Nani atuonya kocha wa yanga Mwinyi Zahera kwa uchochezi huu???

Nascoba

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
310
Reaction score
160
Katika press conference aliyofanya leo sambamba na Dismas Ten,Mwinyi Zahera amesikika akilaumu upangaji wa ratiba ya michezo ya ligi pamoja na kumtuhumu Refa aliechezesha mchezo kati ya Yanga na Coastal kwamba amekuwa akisafiri pamoja na timu ya simba na akaenda mbali zaidi kwa kusema mambo hayo Congo unakufa na unachomewa Nyumba moto.

Ni vizuri kocha huyu mropokaji ajikite ktk mambo ya kiufundi zaidi kuliko kuwachochea watanzania wafanye uhalifu na mauaji na ajue kwamba Tanzania sio Congo na watanzania hatuna zuri la kujifunza kutoka Congo.

Natumai Mamlaka husika zimemsikia na ataelekezwa adabu na atakumbushwa wajibu wake kama kocha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi mechi ya coastal unioni alitaka wabebwe kiasi gani?
 
leo nimemskia kwenye redio akisema simba hua ina wapa hela wachezaji wa timu pinzani zinapochez na yanga ili yanga isipate matokeo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo hizo tuhuma anazotoa maana kama kweli hilo linafanyika hiyo si ni rushwa katika soka
Nitashangaa sana Takukuru na TFF wakikaa kimya


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kitu viongozi wa Simba wasikae kimya, inabidi watoe kauli yao, maana Zahera si mtu mdogo pale Yanga, ni sehemu ya Uongozi.

Haya maneno yangetoka kwa mshabiki wa kawaida tu, isingekua shida ila yanapotoka mdomo wa kocha si ya kupuuza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu viongozi wa Simba wasikae kimya, inabidi watoe kauli yao, maana Zahera si mtu mdogo pale Yanga, ni sehemu ya Uongozi.

Haya maneno yangetoka kwa mshabiki wa kawaida tu, isingekua shida ila yanapotoka mdomo wa kocha si ya kupuuza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zahera yuko Smart hajakurupuka. Kama huamini utaona hao viongozi wa Simba watavyoufyata.
 
Watu waache kuhonga michezaji yake yenye njaa,wakahonge timu pinzani au marefa ili iweje?
Kwanza timu yenyewe ya kuundiwa tume iko wapi?
Kacheza mimechi taifa hapa akaona ligi ya bongo simple...sa hivi anatoka nje hapati matokeo anaanza kuongea mashudu...
Baada ya gemu ya Simba sijui atakuja na lipi tena maskini huyu wa mawazo anayetaka timu yenye njaa ichukue kombe ikiwa na wakina Ngassa na Boban.
 
leo nimemskia kwenye redio akisema simba hua ina wapa hela wachezaji wa timu pinzani zinapochez na yanga ili yanga isipate matokeo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu deserves to be removed from.our country

Anachafua.systyem.nzima.na Hana proof

Tanzania is not DRC.... Kama ameoza huko kwao akamalizikie hukohuko
 
Back
Top Bottom