Nani Huyu? Zawadi Nono kutolewa!!!!

Huyu ni mbunge wa Nyamagana wakujifanya anaweza zima moto wa peoples power, aa! hakuna uchaguzi tena nasubiri kuapishwa nakwambia hawatarudia tena muda mwingine,
Fisadi kaumbuka atauona mjengo kwa mbali au awe mgeni wa RA& EL akiwapa madokezo ya kifisaidi aliyoficha.
Asant Mungu wataumbuka hapa hapa
duniani.
 
HUYU NI lau Masha na bonny anamzomea anamwambia kiboko chako chadema
 
huyo l. masha, ndo zao na jk... eti ndo viongozi hao... bull sht!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…