Nani huyu???

Nani huyu???

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
2861_1080044919767_1185614489_30232899_6050261_n.jpg

Tabu tupu!!!!!
 
inakuwa vp unamiliki picha ya mtu usiyemjua Ngoshwe!
 
Nahisi ni Ray C, kanenepa kweli, halafu mbona anazidi kuwa mwekundu? au ndo rangi ya maharage mchemsho hii?
 
Haya makuku ya kizungu yatatumaliza. ninadhani mrembo huyo anayakwida sana.
 
:drum:Akikonda ana............................... akinenepa anatumia..................................., msishangae "Akikonda ana maudhi kibao akinenepa anatumia kitimoto".:target:
 
Nimeona kule BC alipokuwa ana defend kashfa za utapeli, wadau walimpakazia Ray C eti ni teja...wameniacha kidogo!
sasa sijuwi hayo mabadiliko yanahusika na tuhuma hizo (za kuwa uteja) au vp?!
 
kazi ipo-ongera wachina,watu woote tutakuwa wazungu cku zijazo
 
Nafikiri ana biashara nyingi, kwanza yawezekana yeye mwenyewe ameomba hizi picha ziwekwe humu!
 
Back
Top Bottom