Nani huyu???

Mh Ray C, nasikia anatumia za kichina these days
 
inakuwa vp unamiliki picha ya mtu usiyemjua Ngoshwe!
 
Naona na yeye siku hizi anabadili rangi
.. I hope hata kile kiuno kisicho na mfupa kwa mtaji huu hakipo tena. Mbona amenona kihivi?? Lazima kuna mkono wa mchina hapo si bure!
 
Nahisi ni Ray C, kanenepa kweli, halafu mbona anazidi kuwa mwekundu? au ndo rangi ya maharage mchemsho hii?
 
Haya makuku ya kizungu yatatumaliza. ninadhani mrembo huyo anayakwida sana.
 
:drum:Akikonda ana............................... akinenepa anatumia..................................., msishangae "Akikonda ana maudhi kibao akinenepa anatumia kitimoto".:target:
 
Nimeona kule BC alipokuwa ana defend kashfa za utapeli, wadau walimpakazia Ray C eti ni teja...wameniacha kidogo!
sasa sijuwi hayo mabadiliko yanahusika na tuhuma hizo (za kuwa uteja) au vp?!
 
kazi ipo-ongera wachina,watu woote tutakuwa wazungu cku zijazo
 
Nafikiri ana biashara nyingi, kwanza yawezekana yeye mwenyewe ameomba hizi picha ziwekwe humu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…