Good Neighbour
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 942
- 897
Ata mi nimeshangaa,mana mtu humjui how do you hate him/her au ndo mambo ya ule mlango wa sita wa fahamu "Telepath".nimeona ni ka story ya sadiki na chitemo!!!!better wewe umekuwa practical zaidi mkuu,big upKumchukia mtu au kuchukia Avatar..??
Nadhani ingekaa poa sana kama ungesema " Avatar gani unaichukia hapa Jf" ?
Ni ka vile uko true mkuuUmri ni tatizo hapo uhanga umemzidi mwanzisha sred
eee??
HahahahaUmri ni tatizo hapo uhanga umemzidi mwanzisha sred
umeona eeeh, jamaa sio kabisaAnajifanyaga mtekaji na mpiga ban wenzie
kE.nge ingine iliyobaki hii hapa===> Nyani Ngabumi namchukia troll jf juzi kapigwa ban kule kwenye jukwaa letu la siasa yaani mpaka leo nafuraha..... jamaa kaisha nisababishia hasara sana kutokana na mada zake, i wish angepigwa hata ban ya mwaka mzima
hahahaaaaakE.nge ingine iliyobaki hii hapa===> Nyani Ngabu
Bruce,duh,au alimgusa Fidel Castro!umeona eeeh, jamaa sio kabisa
Uchochezi huu,.
Hahaaaa Nyani Ngabu waitwa hukuukE.nge ingine iliyobaki hii hapa===> Nyani Ngabu