Ukibeba mgongoni mtoto mwenye masikio kama hayo watakuchekaKWani hayasikii?
No way out,mtu ambae anaamka na kupishana na mwanaume mwingine ambae unajua wazi kabisa katoka kumkaza mke wake wa ndoa unadhani utafanya nini than kumsamehe Ili apambane na hali yake?? I let things slide awayGood hearted woman,hongera
Good Neighbour
Mtoto wa tanga na mmanga wa Tandika acha hizo
Surely.Leo nimekuona threads nyingi,you coloured the dayNo way out,mtu ambae anaamka na kupishana na mwanaume mwingine ambae unajua wazi kabisa katoka kumkaza mke wake wa ndoa unadhani utafanya nini than kumsamehe Ili apambane na hali yake?? I let things slide away
Sometimes inatokea kumchukia member,pengine kwa majibu yake kwa member wenzake nk.unaanzaje kumchukia mtu usiyemjua?
Le mbembezzz anakujibu kwa kuweka picha akiwa na totozz, pia ananifurahishaga paleMi' napenda sana uandishi wa Pascal Mayala. Hata akiandika nisiyoyapenda, huwa sichoki kusoma!
Mwingine, Le Mutuz. Kinachonifurahisha kwa huyu mtu, ni ile michango ya watu wengine. Badala ya kuijadili hoja yake, watu wanahama na kumjadili yeye! Kwangu hiyo, ni burudani kweli!
Wanichukizao, ni wale wa BUKU SABA WOOOOOTE!
Hahahahaaaaaaa hiyo avatar imenikumbusha Serengeti.Alikufanyaje bibie mpaka unamchukia hivyo??
Mwenzio sina adui aisei Mungu wangu ni mwema..!
Kwanini mkuu..!??
Utakuwa wa kwanza kujua...Akikujibu naomba unitag...[emoji2] [emoji2]
Now i clearly understand why umejiita NeybrightMie siwachukii ila huwa nawadharau wale wote wasioweza kupingana kwa hoja zenye mashiko na kukimbilia matusi kama sehemu yao ya kufikisha ujumbe kwa hadhira, wapuuzi sana watu wa namna hiyo. Ila ni vema kuwapuuza ili wabaki na ujinga wao [emoji57]
Na unaanzaje kumpenda mtu usiyemjua? Palipo heri hapakosi shari. Labda uwe NEUTRAL kihisia.unaanzaje kumchukia mtu usiyemjua?