umesahau na WassiraHivi unamuachaje Mbowe na gia zake za angani?
Gwajima na malimao yake?
Kingunge na mikwara mbuzi?
Kubenea na ukigeugeu wake?
Lema na kuufyata kwa lowassa?
Msigwa na ulambaji wa matapishi?
Sumaye na kuropoka kwake?
......
Kipindi flani ambacho tulikuwa tunaingizwa mkenge na kina mbowe miezi 2 na nusu hivi iliyopitaDuh!! Mkuu ni lini hiyo nilikukera?
Huku ninapoishi sijui ni line ya wapi, kwa mwezi mzima umeme umekatika mara 3 tu kwa dakika zisizozidi 10Tanesco zaidi
HongereniHuku ninapoishi sijui ni line ya wapi, kwa mwezi mzima umeme umekatika mara 3 tu kwa dakika zisizozidi 10
Nasikia Shein alikubali shida ni babu upara.Mimi kanikera Jecha na Shein
ha ha ha...nisamehe lakini usisahau!!Kipindi flani ambacho tulikuwa tunaingizwa mkenge na kina mbowe miezi 2 na nusu hivi iliyopita
PSPF1-Your parents
2-Attendance Facebook
3-Vodacom
4-Tigo
5-Airtel
6-Landlord
7-Bus conductor
8-Dokt.Shein
9-You boss @work
10-Husband
11-Wife
12-Boy friend
13-Girl friend
14-Josse Mourinho
15-Hazard
16-Van Gal
17-Chelsea
18-Man U
19-Magufuli
20-Lubuva
21-Dr.Slaa
22-Lowasa
23-Jecha
24-Kikwete
25-Mchepuko
26-Taifa stars
27-Simba
28-Yanga
29-Nkurunziza
30-Maalim Seif 31-Tanesco
Ongezea na mengine ambayo yamekukera