Elections 2010 Nani kama Jakaya Kikwete kwa maendeleo?

Ofisi ya waalimu shule ya Msingi Twiga- Dar es salaam

 
Na anakaguwa hadi ujenzi wa kitu kama hiki....

 
Na anakaguwa hadi ujenzi wa kitu kama hiki....


Look at him haoni hata haya!!!

Utasikia ".......sasaaa kilio chenu tumekisia....bla bla blah....tutajenga nyumba za kutosha mkituongezea miaka 5"
Hatudanganyiki!!!
 


Maisha bado magumu

YANI KUSEMA UKWELI ROHO INAUMA....! SERIOUSLY ..!

hivi kweli toyota V8 moja haimalizi katatizo haya..? 200million car!!!!!!!!!!

halafu ajabu ajabu WANAWEKE WENGI NDO WANAIPIGIA KURA CCM..! WAKE - UP...............! VOTE CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…