Nani kama mama....????

Nani kama mama....????

roselyne1

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
1,365
Reaction score
95
maternity-475x600.jpg


Happy mothers day wana JF!
 
Dah!!!
Picha hii inanifanya nimkumbuka mama yangu mzazi alipo kuwa anambeba mdogo wangu........ Dah!! it is very nice..
Happy mama day too.
Hebu check mama anavyo mcheki mtoto wake....... yaani huitaji kujiuliza kama anampenda au la! The picture itself can tell a hundreds of words.
I real like it.
Thank you Roselyne1
 
nani kama mama? baba! naye ni wamuhimu sana. ila hii siku mimi inanifanya nimkumbuke mama yangu kwasababu sijamuona kwa miaka kama miwili na nusu hivi. na sina nafasi ya kumwona ka kitambo baadaye, so nafikiri bora niende thread zingine tu hapa nisijetoa mchozi mimi hapa.
 
Mwana wa Mungu, hamna kama mama kama ambavyo hamna kama baba.
Usisikitike mkuu........mama anautamu wake wa pekee...kuna thread mwaka jana nilivyoeleza jinsi nilivyotaka kumuua mjomba aliempiga mama mbele yangu!! nilikomesha mno!
 
Mwana wa Mungu, hamna kama mama kama ambavyo hamna kama baba.
Usisikitike mkuu........mama anautamu wake wa pekee...kuna thread mwaka jana nilivyoeleza jinsi nilivyotaka kumuua mjomba aliemoiga mama mbele yangu!! nilikomesha mno!

sijakuelewa! na wale wamama wanaotelekeza watoto wao je, wale wanaowatupa jalalani vichanga?, nafikiri baba na mama wote ni sawa. mimi nawapenda wote sawasawa. by the way, sijakuelewa hapo uliposema ulitaka kumwua mjomba yako alipokuwa anataka kufanya nini?..angalia bold nyekundu....hata huyo mwana wa mungu nafikiri hajakuelewa. i don't know.
 
sijakuelewa! na wale wamama wanaotelekeza watoto wao je, wale wanaowatupa jalalani vichanga?, nafikiri baba na mama wote ni sawa. mimi nawapenda wote sawasawa. by the way, sijakuelewa hapo uliposema ulitaka kumwua mjomba yako alipokuwa anataka kufanya nini?..angalia bold nyekundu....hata huyo mwana wa mungu nafikiri hajakuelewa. i don't know.

Oooh, sorry mkuu! sahihi ni aliempiga mama yangu...rejea thead ile "SIKU NILIYOTAKA KUMUUA MJOMBA WANGU" search hata kwenye google utaiona...
Naamini hapo utanielewa mheshimiwa.... mzazi ni mzazi tujifunze kusamehe saba mara sabini!
 
Oooh, sorry mkuu! sahihi ni aliempiga mama yangu...rejea thead ile "SIKU NILIYOTAKA KUMUUA MJOMBA WANGU" search hata kwenye google utaiona...
Naamini hapo utanielewa mheshimiwa.... mzazi ni mzazi tujifunze kusamehe saba mara sabini!

hata anayempiga baba pia ninaweza nikamtandika, au? ni mama peke yake? dingi alikufanya nini mkuu hadi ukamshusha thamani hivyo?
 
nani kama mama mama awe mama yko aliye kuzaa
na si wa kambo couse awafai ata kidogo :A S-danger::A S-danger:
 
hata anayempiga baba pia ninaweza nikamtandika, au? ni mama peke yake? dingi alikufanya nini mkuu hadi ukamshusha thamani hivyo?
Ni mjomba nili mtandika, sio baba. Baba alifurahi sana mkuu.....ngoja nikuibulie hiyo habari sasa hivi utaisoma mwenyewe..."Nilivyotaka kumuua mjomba wangu"...
 
nani kama mama? baba! naye ni wamuhimu sana. ila hii siku mimi inanifanya nimkumbuke mama yangu kwasababu sijamuona kwa miaka kama miwili na nusu hivi. na sina nafasi ya kumwona ka kitambo baadaye, so nafikiri bora niende thread zingine tu hapa nisijetoa mchozi mimi hapa.

pole sana!wababa nao wana sikukuu yao,ngoja ifike
 
sijakuelewa! na wale wamama wanaotelekeza watoto wao je, wale wanaowatupa jalalani vichanga?, nafikiri baba na mama wote ni sawa. mimi nawapenda wote sawasawa. by the way, sijakuelewa hapo uliposema ulitaka kumwua mjomba yako alipokuwa anataka kufanya nini?..angalia bold nyekundu....hata huyo mwana wa mungu nafikiri hajakuelewa. i don't know.[/QUOTE

kuna wababa pia wanawapa mimba wasichana mahousegirl na kuwatelekeza,na kuna ambao wakipata nyumba ndogo hutelekeza familia zao pamoja na watoto....

inategemea unatokea familia ya namna gani,kama umekulia ktk familia yenye upendo wa wazazi wote wawili utakuja kusema hapa baba na mama wote sawa,ila kama ni mzazi ameku raise singly handed,lazima utasema nani kama mama au nani kama baba kama mwana wa mungu!

mie nabaki na nani kama MAMA?? sio tu kwa vile mama amenilea peke yake...bali ni kwa vile naona jinsi african mothers wanavyojisacrifice kila siku!kuna wababa ukiongea nao hawajawahi hata kumbadilisha mtoto nepi!!!!wouldnt you apreciate the woman,who despite kuwa na kazi nyengine kibao zinazomkabili km kilimo,she also make sure you are fed,changed...etc...........NANI KM MAMA JAMANI?
 
Dah!!!
Picha hii inanifanya nimkumbuka mama yangu mzazi alipo kuwa anambeba mdogo wangu........ Dah!! it is very nice..
Happy mama day too.
Hebu check mama anavyo mcheki mtoto wake....... yaani huitaji kujiuliza kama anampenda au la! The picture itself can tell a hundreds of words.
I real like it.
Thank you Rosely
ne1

you are welcom,am glad you really like it....have a wonderful day too!
 
Back
Top Bottom