Wamebaki kuwapachika dada zao plate no kwenye pumper la nyuma..hasa wenye vishudu mbinukoMasifa hayana kabila, sema kitu wasichoweza wahaya ni kuvunga tu.
Hao wadada wamoto sana aseeeππWamebaki kuwapachika dada zao plate no kwenye pumper la nyuma..hasa wenye vishudu mbinuko
Failure sio kitu cha kujivunia.., sisi tutajuaje kama karithishwa je ..πPicha zinagomaView attachment 3224949
Mimi naona kurithishwa fresh tu bwashee kwani wakati wazazi wake, wanatafuta cha wakuwarithisha watoto wao wazazi wangu walikua wapi?Failure sio kitu cha kujivunia.., sisi tutajuaje kama karithishwa je ..π
Shida ni wepesi sana... na bei zao ni affordable hata kwa wenye kipato cha chini.Hao wadada wamoto sana aseeeππ
Dah ila mimi naona ni daraja la kwanza kwa Tz.Shida ni wepesi sana... na bei zao ni affordable hata kwa wenye kipato cha chini.
Hayo anayoyafanya ni kuprove kwamba hiyo kweli ni GPA yake.Picha zinagomaView attachment 3224949
Wee hujakutana na wambugu toka Tanga,Waburushi wa Iringa/Mbarali plus wambulu na Warangi...wanajua sana mjengo, halafu si wachoyoDah ila mimi naona ni daraja la kwanza kwa Tz.
Forex trader!? π€£πbwana mdogo huyo ni forex trader, anaitwa Eugene Lwala
hiyo picha nahisi imeghushiwa
View attachment 3224975
Hata mimi mwenyewe hujanishawishi tu tangu yule bwana nyuzi zake nilikuwa nazifuatilia Ontario.watajua wenyewe wadau
mimi nikishasikia forex najua tu hapa maneno yatakuwa mengi
KabisaMasifa hayana kabila, sema kitu wasichoweza wahaya ni kuvunga tu.
Haujambo mrembo ?Kabisa
Ya kuvukia barabara[emoji28][emoji28]πππGPA ya kuvukia barabara....
Hapana aisee
Hiyo kitu ni real sio AITechnologia inaenda kwa kasi sana (wanaita AI)
Usiamini kila picha unayo ona, utajipa presha bure bila sababu
Sasa hivi hata ukiona mtu maarufu anaongea vitu vya ajabu ajabu kwenye video; usi comment kabla ya kufikiria vizuri....zinatengenezwa....
Kirefu cha GPA ni nini??Hayo anayoyafanya ni kuprove kwamba hiyo kweli ni GPA yake.
Success kwako ni GPA kubwa??Failure sio kitu cha kujivunia.., sisi tutajuaje kama karithishwa je ..[emoji23]
Hipi ya Kujisifu nayo??Sawa ila hiyo GPA siyo ya kujisifu nayo