Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Grade Point AverageKirefu cha GPA ni nini??
Sawa, lakini sasa asitumie hicho kama kigezo cha kuwaingiza wenzake mkenge, GPA ya 2.5 haijahusika kwenye kupata hayo magari..Mimi naona kurithishwa fresh tu bwashee kwani wakati wazazi wake, wanatafuta cha wakuwarithisha watoto wao wazazi wangu walikua wapi?
Niliposema Failure nilimaanisha GPA ndogo…Success kwako ni GPA kubwa??
Ndii mmoja wapo ni mimi mkuu!Kwamba wenye gpa za 5 wekeni tuone range zenu
Range iko wapiNdii mmoja wapo ni mimi mkuu!
!! Japo sijafika tano.
Sipendi gari za aina hiyoRange iko wapi
2.5 si anapewa chetiNiliposema Failure nilimaanisha GPA ndogo…
Niko vyema kabisa.Haujambo mrembo ?
Huku wanakwita SuguNiko vyema kabisa.
Ila ni failure hiyo..2.5 si anapewa cheti
Kigosi MinerWho's this guy....[emoji2955]
Mweee,sugu tenaHuku wanakwita Sugu
Joseph 2NyiMweee,sugu tena
How?Ila ni failure hiyo..
Mwakani tu ataanza kutoa nyimbo za bongo fleva
Nasikia anawaambia wenzake anaenda kuwa dereva wa TANAPA mbuganiIla ni failure hiyo..
Failure kwani hajapata Cheti..,?Ila ni failure hiyo..
Ile kule pembeni 2.7 ni ya nani 🤣🤣