Nani kamdanganya Rais wetu kwamba Machifu ni viongozi wakubwa huku mikoani?

Nani kamdanganya Rais wetu kwamba Machifu ni viongozi wakubwa huku mikoani?

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,168
Reaction score
39,118
Nimeangalia na kusikiliza maelekezo ya Rais Samia jana pale Ikulu Chamwino Kwa wanaoitwa Machifu nimebaki nashangaa.

Maagizo yalitolewa kwa watu wasio na mamlaka yoyote zaidi ya familia zào maana hakuna sheria yoyote nchini inayowatambua.

Nitoe mifano ya mikoa mitatu tu ninayotembelea mara Kwa mara, Iringa, Mbeya na Rukwa. Iringa kuna yule kijana mjukuu wa Adam Sapi, zaidi ya jumba la makumbusho ya Wahehe pale Kalenga Hana mamlaka sehemu nyingine. Hawezi hata kuita watu wa Mafinga maana Hana mamlaka hayo. Mkoa wa Mbeya Chifu alliyejipa umaarufu Kwa Uchawa ni Chifu Rocket Mwashinga wa Wasafwa. Hivi tuseme tu ukweli kama siyo ufujaji wa hela za Serikali Msafwa anaweza kumsuluhisha Mnyakyusa?

Mwashinga anayeonekana Mali Kwa CCM hata Mgogoro tu wa soko la Mwanjelwa Hakuna atakayemsikiliza.
Kifupi hawezi kusikilizwa hata na Wasafwa wenzake maana Watanzania waliobaki wanaamini mizimu na ibada za milima Pacha, Milima Nguawa au mlima Samya ni wachache Sana.

Ukienda Rukwa wanàoitwa Machifu wakiwa wanajulikana ni Chifu Malema pale Sumbawanga asilia na mwingine Kapufi anaishi chini ya mlima Itekesha njia ya kwenda Wampembe karibu na Shamba la mwekezaji Salim Sumry. Huyu hata Mgogoro wa Mwekezaji na wanakijiji hajawahi kuugusa maana anaweza kusimamia familia yake tu kama Mtu binafsi na Hakuna anayemuona kama kiongozi.

Kiujumla hata Namanyere ambao ni makao makuu ya wilaya ya Nkasi hawamtambui. Hana mamlaka hata kwenye Kata. Chifu Malema pale Sumbawanga asilia ndo wanaomfahamu tena kama mwananchi wa kawaida tu. Hana mamlaka Chanji wala Katumba stendi.

Baada ya mifano hiyo miwili niongeze kitu kingine ambacho Watanzania mmekuwa mkikiona lakini kama maigizo na kweli ni maigizo. Jana sikuwaona watu maarufu àmbao huwa wakipitapita kwenye ziara wanapewa Uchifu wa mchongo.

Kuna Chifu Kigwangala aliwahi kuvishwa Uchifu Sikonge, Kuna Chifu Mbowe alipewa Uchifu Umasaini, Kuna Chifu Chongolo alipewa Uchifu na Chifu Malema wa Sumbawanga, kuna Chifu Makonda alipewa Uchifu na Waha na pale Kalenga Kwa Check Bob Mkwavinyika Jr, kuna Chifu Injinia Hersi, kuna Chifu Nape Nnauye wa Mafinga hapa kwetu, kuna Chifu Makala wa Ushirombo, kuna Chifu Sugu wa Umalila, kuna Chifu Msigwa labda huyu wamemnyang'anya baada ya kuhama kambi, kuna Chifu Manala na Jana kamaliza kifungo cha TFF.

Hawa wote sikuwaona Jana pale Chamwino au uchifu wao hautambuliki Ikulu? Katika Hali kama hiyo kusema kiongozi wa nchi amewakabidhi watu wasio na mamlaka kazi inayohitaji mamlaka ni kichekesho cha Bambo.

Pia soma=> Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
 
[Chief] kama kiongozi wa KIJAMII ZAIDI ANAYESIKILIZWA NA JAMII YAKE ZAIDI, MSHIKA MILA, ANA UMUHIMU MKUBWA SANA, NJE NA UONGOZI WA KISEREKALI.
 
Nimeangalia na kusikiliza maelekezo ya Rais Samia jana pale Ikulu Chamwino Kwa wanaoitwa Machifu nimebaki nashangaa.

Maagizo yalitolewa kwa watu wasio na mamlaka yoyote zaidi ya familia zào maana hakuna sheria yoyote nchini inayowatambua.

Nitoe mifano ya mikoa mitatu tu ninayotembelea mara Kwa mara, Iringa, Mbeya na Rukwa. Iringa kuna yule kijana mjukuu wa Adam Sapi, zaidi ya jumba la makumbusho ya Wahehe pale Kalenga Hana mamlaka sehemu nyingine. Hawezi hata kuita watu wa Mafinga maana Hana mamlaka hayo. Mkoa wa Mbeya Chifu alliyejipa umaarufu Kwa Uchawa ni Chifu Rocket Mwashinga wa Wasafwa. Hivi tuseme tu ukweli kama siyo ufujaji wa hela za Serikali Msafwa anaweza kumsuluhisha Mnyakyusa?

Mwashinga anayeonekana Mali Kwa CCM hata Mgogoro tu wa soko la Mwanjelwa Hakuna atakayemsikiliza.
Kifupi hawezi kusikilizwa hata na Wasafwa wenzake maana Watanzania waliobaki wanaamini mizimu na ibada za milima Pacha, Milima Nguawa au mlima Samya ni wachache Sana.

Ukienda Rukwa wanàoitwa Machifu wakiwa wanajulikana ni Chifu Malema pale Sumbawanga asilia na mwingine Kapufi anaishi chini ya mlima Itekesha njia ya kwenda Wampembe karibu na Shamba la mwekezaji Salim Sumry. Huyu hata Mgogoro wa Mwekezaji na wanakijiji hajawahi kuugusa maana anaweza kusimamia familia yake tu kama Mtu binafsi na Hakuna anayemuona kama kiongozi.

Kiujumla hata Namanyere ambao ni makao makuu ya wilaya ya Nkasi hawamtambui. Hana mamlaka hata kwenye Kata. Chifu Malema pale Sumbawanga asilia ndo wanaomfahamu tena kama mwananchi wa kawaida tu. Hana mamlaka Chanji wala Katumba stendi.

Baada ya mifano hiyo miwili niongeze kitu kingine ambacho Watanzania mmekuwa mkikiona lakini kama maigizo na kweli ni maigizo. Jana sikuwaona watu maarufu àmbao huwa wakipitapita kwenye ziara wanapewa Uchifu wa mchongo.

Kuna Chifu Kigwangala aliwahi kuvishwa Uchifu Sikonge, Kuna Chifu Mbowe alipewa Uchifu Umasaini, Kuna Chifu Chongolo alipewa Uchifu na Chifu Malema wa Sumbawanga, kuna Chifu Makonda alipewa Uchifu na Waha na pale Kalenga Kwa Check Bob Mkwavinyika Jr, kuna Chifu Injinia Hersi, kuna Chifu Nape Nnauye wa Mafinga hapa kwetu, kuna Chifu Makala wa Ushirombo, kuna Chifu Sugu wa Umalila, kuna Chifu Msigwa labda huyu wamemnyang'anya baada ya kuhama kambi, kuna Chifu Manala na Jana kamaliza kifungo cha TFF.

Hawa wote sikuwaona Jana pale Chamwino au uchifu wao hautambuliki Ikulu? Katika Hali kama hiyo kusema kiongozi wa nchi amewakabidhi watu wasio na mamlaka kazi inayohitaji mamlaka ni kichekesho cha Bambo.

Pia soma=> Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
Kampeni
 
Nimeangalia na kusikiliza maelekezo ya Rais Samia jana pale Ikulu Chamwino Kwa wanaoitwa Machifu nimebaki nashangaa.

Maagizo yalitolewa kwa watu wasio na mamlaka yoyote zaidi ya familia zào maana hakuna sheria yoyote nchini inayowatambua.

Nitoe mifano ya mikoa mitatu tu ninayotembelea mara Kwa mara, Iringa, Mbeya na Rukwa. Iringa kuna yule kijana mjukuu wa Adam Sapi, zaidi ya jumba la makumbusho ya Wahehe pale Kalenga Hana mamlaka sehemu nyingine. Hawezi hata kuita watu wa Mafinga maana Hana mamlaka hayo. Mkoa wa Mbeya Chifu alliyejipa umaarufu Kwa Uchawa ni Chifu Rocket Mwashinga wa Wasafwa. Hivi tuseme tu ukweli kama siyo ufujaji wa hela za Serikali Msafwa anaweza kumsuluhisha Mnyakyusa?

Mwashinga anayeonekana Mali Kwa CCM hata Mgogoro tu wa soko la Mwanjelwa Hakuna atakayemsikiliza.
Kifupi hawezi kusikilizwa hata na Wasafwa wenzake maana Watanzania waliobaki wanaamini mizimu na ibada za milima Pacha, Milima Nguawa au mlima Samya ni wachache Sana.

Ukienda Rukwa wanàoitwa Machifu wakiwa wanajulikana ni Chifu Malema pale Sumbawanga asilia na mwingine Kapufi anaishi chini ya mlima Itekesha njia ya kwenda Wampembe karibu na Shamba la mwekezaji Salim Sumry. Huyu hata Mgogoro wa Mwekezaji na wanakijiji hajawahi kuugusa maana anaweza kusimamia familia yake tu kama Mtu binafsi na Hakuna anayemuona kama kiongozi.

Kiujumla hata Namanyere ambao ni makao makuu ya wilaya ya Nkasi hawamtambui. Hana mamlaka hata kwenye Kata. Chifu Malema pale Sumbawanga asilia ndo wanaomfahamu tena kama mwananchi wa kawaida tu. Hana mamlaka Chanji wala Katumba stendi.

Baada ya mifano hiyo miwili niongeze kitu kingine ambacho Watanzania mmekuwa mkikiona lakini kama maigizo na kweli ni maigizo. Jana sikuwaona watu maarufu àmbao huwa wakipitapita kwenye ziara wanapewa Uchifu wa mchongo.

Kuna Chifu Kigwangala aliwahi kuvishwa Uchifu Sikonge, Kuna Chifu Mbowe alipewa Uchifu Umasaini, Kuna Chifu Chongolo alipewa Uchifu na Chifu Malema wa Sumbawanga, kuna Chifu Makonda alipewa Uchifu na Waha na pale Kalenga Kwa Check Bob Mkwavinyika Jr, kuna Chifu Injinia Hersi, kuna Chifu Nape Nnauye wa Mafinga hapa kwetu, kuna Chifu Makala wa Ushirombo, kuna Chifu Sugu wa Umalila, kuna Chifu Msigwa labda huyu wamemnyang'anya baada ya kuhama kambi, kuna Chifu Manala na Jana kamaliza kifungo cha TFF.

Hawa wote sikuwaona Jana pale Chamwino au uchifu wao hautambuliki Ikulu? Katika Hali kama hiyo kusema kiongozi wa nchi amewakabidhi watu wasio na mamlaka kazi inayohitaji mamlaka ni kichekesho cha Bambo.

Pia soma=> Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
Chifu Wigombikanana anatawala Arusha.
 
Kwamba Machifu wanaweza kuamrisha polisi au vyombo vya dola na kuwatia ndani raia au wahalifu au mimi sijaelewa ama aliyoyasema nae hajayaelewa?!
 
Nimeangalia na kusikiliza maelekezo ya Rais Samia jana pale Ikulu Chamwino Kwa wanaoitwa Machifu nimebaki nashangaa.

Maagizo yalitolewa kwa watu wasio na mamlaka yoyote zaidi ya familia zào maana hakuna sheria yoyote nchini inayowatambua.

Nitoe mifano ya mikoa mitatu tu ninayotembelea mara Kwa mara, Iringa, Mbeya na Rukwa. Iringa kuna yule kijana mjukuu wa Adam Sapi, zaidi ya jumba la makumbusho ya Wahehe pale Kalenga Hana mamlaka sehemu nyingine. Hawezi hata kuita watu wa Mafinga maana Hana mamlaka hayo. Mkoa wa Mbeya Chifu alliyejipa umaarufu Kwa Uchawa ni Chifu Rocket Mwashinga wa Wasafwa. Hivi tuseme tu ukweli kama siyo ufujaji wa hela za Serikali Msafwa anaweza kumsuluhisha Mnyakyusa?

Mwashinga anayeonekana Mali Kwa CCM hata Mgogoro tu wa soko la Mwanjelwa Hakuna atakayemsikiliza.
Kifupi hawezi kusikilizwa hata na Wasafwa wenzake maana Watanzania waliobaki wanaamini mizimu na ibada za milima Pacha, Milima Nguawa au mlima Samya ni wachache Sana.

Ukienda Rukwa wanàoitwa Machifu wakiwa wanajulikana ni Chifu Malema pale Sumbawanga asilia na mwingine Kapufi anaishi chini ya mlima Itekesha njia ya kwenda Wampembe karibu na Shamba la mwekezaji Salim Sumry. Huyu hata Mgogoro wa Mwekezaji na wanakijiji hajawahi kuugusa maana anaweza kusimamia familia yake tu kama Mtu binafsi na Hakuna anayemuona kama kiongozi.

Kiujumla hata Namanyere ambao ni makao makuu ya wilaya ya Nkasi hawamtambui. Hana mamlaka hata kwenye Kata. Chifu Malema pale Sumbawanga asilia ndo wanaomfahamu tena kama mwananchi wa kawaida tu. Hana mamlaka Chanji wala Katumba stendi.

Baada ya mifano hiyo miwili niongeze kitu kingine ambacho Watanzania mmekuwa mkikiona lakini kama maigizo na kweli ni maigizo. Jana sikuwaona watu maarufu àmbao huwa wakipitapita kwenye ziara wanapewa Uchifu wa mchongo.

Kuna Chifu Kigwangala aliwahi kuvishwa Uchifu Sikonge, Kuna Chifu Mbowe alipewa Uchifu Umasaini, Kuna Chifu Chongolo alipewa Uchifu na Chifu Malema wa Sumbawanga, kuna Chifu Makonda alipewa Uchifu na Waha na pale Kalenga Kwa Check Bob Mkwavinyika Jr, kuna Chifu Injinia Hersi, kuna Chifu Nape Nnauye wa Mafinga hapa kwetu, kuna Chifu Makala wa Ushirombo, kuna Chifu Sugu wa Umalila, kuna Chifu Msigwa labda huyu wamemnyang'anya baada ya kuhama kambi, kuna Chifu Manala na Jana kamaliza kifungo cha TFF.

Hawa wote sikuwaona Jana pale Chamwino au uchifu wao hautambuliki Ikulu? Katika Hali kama hiyo kusema kiongozi wa nchi amewakabidhi watu wasio na mamlaka kazi inayohitaji mamlaka ni kichekesho cha Bambo.

Pia soma=> Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
Hii kitu mama analeta kutaka kurudisha machifu ni dalili mbaya kabisa. Nyerere alisafisha uchifu kwa wananchi wa tanganyka na tanzania kwa uzuri hadi machifu na vizazi vyao wanaona aibu kujitaja kama chifu.

Hii dhana kwamba mtu ana haki ya uongozi kwa kuzaliwa imefutika kabisa kwenye vichwa vya watanzania.

Kama kuna mtu anamshauri mama samia kamba machifu wanaweza kua base yake kisiasa anamdanganya kabisa.

Haya mambo ya imani za kishirikina ni sehemu ya utamaduni wa asili ambapo machifu walikua wanaendekeza. Asifikiri anaweza kuondoa imani zakishirikina kupitia kufufua uchifu.

Nyerere alijua ni elimu tu na kuwaletea maendeleo wananchi wa kawaida vinavyoweza kupunguza imani za kishirikina.

Samia ajifunze kuhusu mfano wa Magufuli pale alipowaita ikulu wenyeviti wote nchini wa serikali za mtaa na kunywa nao chai na kuwapa somo kuhusu vipi wamsaidie uchaguzi.

Si hao machifu wanakuja wamevaa mahirizi na ngozi za wanyama halafu unawaomba wahubiri dhidi ya ushirikina.
 
Nimeangalia na kusikiliza maelekezo ya Rais Samia jana pale Ikulu Chamwino Kwa wanaoitwa Machifu nimebaki nashangaa.

Maagizo yalitolewa kwa watu wasio na mamlaka yoyote zaidi ya familia zào maana hakuna sheria yoyote nchini inayowatambua.

Nitoe mifano ya mikoa mitatu tu ninayotembelea mara Kwa mara, Iringa, Mbeya na Rukwa. Iringa kuna yule kijana mjukuu wa Adam Sapi, zaidi ya jumba la makumbusho ya Wahehe pale Kalenga Hana mamlaka sehemu nyingine. Hawezi hata kuita watu wa Mafinga maana Hana mamlaka hayo. Mkoa wa Mbeya Chifu alliyejipa umaarufu Kwa Uchawa ni Chifu Rocket Mwashinga wa Wasafwa. Hivi tuseme tu ukweli kama siyo ufujaji wa hela za Serikali Msafwa anaweza kumsuluhisha Mnyakyusa?

Mwashinga anayeonekana Mali Kwa CCM hata Mgogoro tu wa soko la Mwanjelwa Hakuna atakayemsikiliza.
Kifupi hawezi kusikilizwa hata na Wasafwa wenzake maana Watanzania waliobaki wanaamini mizimu na ibada za milima Pacha, Milima Nguawa au mlima Samya ni wachache Sana.

Ukienda Rukwa wanàoitwa Machifu wakiwa wanajulikana ni Chifu Malema pale Sumbawanga asilia na mwingine Kapufi anaishi chini ya mlima Itekesha njia ya kwenda Wampembe karibu na Shamba la mwekezaji Salim Sumry. Huyu hata Mgogoro wa Mwekezaji na wanakijiji hajawahi kuugusa maana anaweza kusimamia familia yake tu kama Mtu binafsi na Hakuna anayemuona kama kiongozi.

Kiujumla hata Namanyere ambao ni makao makuu ya wilaya ya Nkasi hawamtambui. Hana mamlaka hata kwenye Kata. Chifu Malema pale Sumbawanga asilia ndo wanaomfahamu tena kama mwananchi wa kawaida tu. Hana mamlaka Chanji wala Katumba stendi.

Baada ya mifano hiyo miwili niongeze kitu kingine ambacho Watanzania mmekuwa mkikiona lakini kama maigizo na kweli ni maigizo. Jana sikuwaona watu maarufu àmbao huwa wakipitapita kwenye ziara wanapewa Uchifu wa mchongo.

Kuna Chifu Kigwangala aliwahi kuvishwa Uchifu Sikonge, Kuna Chifu Mbowe alipewa Uchifu Umasaini, Kuna Chifu Chongolo alipewa Uchifu na Chifu Malema wa Sumbawanga, kuna Chifu Makonda alipewa Uchifu na Waha na pale Kalenga Kwa Check Bob Mkwavinyika Jr, kuna Chifu Injinia Hersi, kuna Chifu Nape Nnauye wa Mafinga hapa kwetu, kuna Chifu Makala wa Ushirombo, kuna Chifu Sugu wa Umalila, kuna Chifu Msigwa labda huyu wamemnyang'anya baada ya kuhama kambi, kuna Chifu Manala na Jana kamaliza kifungo cha TFF.

Hawa wote sikuwaona Jana pale Chamwino au uchifu wao hautambuliki Ikulu? Katika Hali kama hiyo kusema kiongozi wa nchi amewakabidhi watu wasio na mamlaka kazi inayohitaji mamlaka ni kichekesho cha Bambo.

Pia soma=> Kuelekea 2025 - Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu
Hajadanganywa, huo ndiyo uelewa wake. Yule ni kilaza mno wala usishangae
 
We hujielewi mara mseme dini za kuletwa, hizo ndio mila zenu pia hamtaki .
 
Hajadanganywa, huo ndiyo uelewa wake. Yule ni kilaza mno wala usishangae
Yani huyo akipata mitano mingine, inchi hii itakuwa ndembendembe, Yani hafai na hawezi kabisa, hata watu wanao msapoti ama hawana uwezo wa akili au ni wajizi yanayofurahia uzembe wa kutosimamia wizi, rushwa, uzembe
na uwizi wa mali za uma
 
Back
Top Bottom