Nani kamdanganya Rais wetu kwamba Machifu ni viongozi wakubwa huku mikoani?

Hofu kuelekea 2025,
Kama umekopa nje kutoka tri 60 mpaka trl. 90 deni la taifa unadai umejenga madarasa unahofia Nini mpaka unahonga machifu
 
[Chief] kama kiongozi wa KIJAMII ZAIDI ANAYESIKILIZWA NA JAMII YAKE ZAIDI, MSHIKA MILA, ANA UMUHIMU MKUBWA SANA, NJE NA UONGOZI WA KISEREKALI.
Wapi huko labda

Kwa Tanzania machifu hamna kitu na hakuna wa kuwasikiliza na wao wanajua
Kama mleta mada kasema hawana uwezo wa kuitisha hata mkutano wa kijiji huko vijiji

Nyerere alisambaratisha uchifu
Sasa hivi wenye nguvu ni viongozi wa kidini na kisiasa
 
Chura Kiziwi hana alijualo. Nchi imepigwa pigo kuu kwa huyu chura kuwa Rais.
 
Usiwasingizie watu wengine, anajidanganya mwenyewe.
 
Nchi yetu hatuna vetting power, tunakabidhiwa kiongozi tumchague, ambaye huchaguliwa na wao kwa kuiba kura kwa maslahi yao na ya CCM. Yaani ukienda mbali sana tangu JK, JPM na huyu sasa walichaguliwa bila kujua katiba, na kila mtu anaingia kwa kufuata yeye anavyojua. Kidogo JK alifuata katiba kipindi za kwanza lakini baada ya kupoteza balance akaanza yake. JPM alifanya yote yake ingawa alikuwa kidogo cosntructive kwenye vision lakini worst kwenye haki za binadam. Huyu wa sasa/Queen anafanya anavyoelekezwa na mafisadi na hawa wanamdanganya kuwa survival yake itadumu akipata support na grassroot kama vile hawa machifu; hivi hawa wachifu hata kwenye katiba hawamo, hii ni strategy tu ya kupata support kikabila. In short she is promoting tribalism. Yaani ni kinyume na Nyerere yeye aliona machifu ni kugawa watu (division); Queen anaona ndiyo survival yake.

Wadanganyika (Mkandara, 2006) tunadanganywa sana; na tunameza, tuko kama malaya.
 
Mama uchaguzi mkuu ujao utamdatisha, anakurupuka na kujikuta anadandia hata makundi yasio na maana kabisa akidhani yatamsaidia.
 
Mmakabila yammeoleana sanna kiasi kwamba kizazi kilichopo ni mixture ya watu wengine kabisa, labda hata yeye amelisahau hilo
 
Mama uchaguzi mkuu ujao utamdatisha, anakurupuka na kujikuta anadandia hata makundi yasio na maana kabisa akidhani yatamsaidia.
Kuna genge linamuingiza chaka kwa manufaa binafsi
 
Mbinu za kimedani hizo.Hakuna sheria inayowatambua machifu zaidi ya mialiko ya hisani kutoka kwa viongozi wa serikali!, kwa ufupi alikuwaanawapa majukumu yasiyo na mashiko ya kisheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…