Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
Duh! Nimechoka .Shida ya Mikia FC mpk kama mademu wa Facebook, maji mara moja mshakolea swaga...huyu Kichuya anampira gani wa kutisha km sio wazimu wenu?
Kile kigoli cha mdondo alichombahatisha Bartez? Walllah angekaa Dida golini usingesikia chuya wala mchele kitambo. Hamna mtu mule, hajapigwa misumari wala nini
Yanga acheni kubana .Hakuna aliyemroga, yule ni mchezaji wa kawaida tu kama ilivyo kwa Juma Mahadhi, Kaseke, Mwashiuya na Webgine. Bahati pekee aliyonayo ni kupewa nafasi ya kucheza mechi nyingi zaidi kwa sababu nafasi anayocheza haina ushindani mkubwa wa namba. Kwa sasa amekuwa na magoli mengi kutokana ma kupewa majukumu ya upigaji penalt, kama sikusei amefunga magoli matatu kwa njiaa hiyo. Ukiongeza na goli la kona iliyopeperushwa na upepo anakuwa juu. Washabiki wa Simba tambuweni kuwa kichuya hana sifa na uwezo mliompa. Na si yeye peke yake, hivi ipo wapi ile combination hatari ya Kichuya, Mavugo na Ajibu? Wenyewe mliipa jina combination hiyo hatari "KIAMA" ni sawa?
mademu bana, unauliza ndevu kwa osama bana we veeepeee!!!Wakuu inasemekana kwenye haya mambo ya simba na yanga kuna kupigana misumari.
Sasa nimeangalia kiwango cha hivi karibuni cha huyu mchezaji wetu kiukweli nimestaajabu ! Si yule Kichuya wa kona - goli, kuna nini kimemtokea?
Wakikukamia na wewe wakamiwKichuya ni winga,kufunga siyo jukumu lake namba moja BALI kutengeneza mashambulizi au nafasi kwa strikers kufungua.Kufunga ni jukumu la pili kwake.
Aidha, mpira wetu ni mgumu kwa kuwa kukamiana ndiyo habari ya soka la. Bongo,mabeki wako tayari wafungwe na Pastory lakini eiyo Kichuya wala Mavugo.
Habari ya Mujini hivi sasa ni Simon Msuvaaaaa,huyo Kichuya ameshakuwa Chujio la Tui la Nazi.
Cc:Sembo.
sio kweli ni tabia tu ya wachezaji wa kitanzania..Magazeti yanalewesha
Wanabodi kuna kitu mnasahau, viwango vya soka vya wachezaji 99% ya Tanzania, ni vya kawaida mno, huwa inatokea ndani ya muda mfupi tu kushine, muda uliobaki wanacheza katika uhalisia wao wa asili, Singano, Kichuya, Ame Ally, Manyika Jr, hakuna miiba wala cha kushangaa hapo!
pepo la mavugo limehamia kwa kichuya.Ameshatoa assist ngapi mpaka sasa hivi??kichuya ni kiungo mshambuliaji then unasema sio jukumu lake kufunga mwee...haya tuambie katoa assist ngapi toka aache kutotimiza jukumu ambalo sio lake yaani kufunga?[emoji15] [emoji15]
Kazi ya beki ni kuokoa,akikukwida,akiosha,yote sawa ilimradi akuzuie usifunge wakati nafasi zingine unatakiwa ufanye zaidi ya hapo.Wakikukamia na wewe wakamiw
Kazi ya beki ni kuokoa,akikukwida,akiosha,yote sawa ilimradi akuzuie usifunge wakati nafasi zingine unatakiwa ufanye zaidi ya hapo.Wakikukamia na wewe wakamiw
Kazi ya beki ni kuokoa,akikukwida,akiosha,yote sawa ilimradi akuzuie usifunge wakati nafasi zingine unatakiwa ufanye zaidi ya hapo.Wakikukamia na wewe wakamiw
Nimecheka sana , bora hata Chirwa alishaonekana hamna kitu tangu asubuhi .pepo la mavugo limehamia kwa kichuya.