Nani kamtuma Shigongo atoe siri kwamba Hazina imekauka?

Nani kamtuma Shigongo atoe siri kwamba Hazina imekauka?

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Shigongo amewaomba wananchi kuwa wavumilivu na kulipa tozo ya miamala ya simu tuweze kuinua uchumi ambao umeporomoka, amewataka wananchi kuvumilia machungu kwa miezi kuanzia kumi na nane au zaidi.

Kauli hii inakuja wakati ambao ripoti ya timu ya wataalam iliyoundwa kuchunguza fedha zilizotumika kutoka hazina kwa miezi mitatu ikidai kwamba hakuna fedha zilizokwapuliwa.

Itakumbukwa siku chache kabla kifo Cha JPM tuliaminishwa uchumi wetu upo 6.8 lakini baada tu yakufariki tukaambiwa uchumi upo 4.8.

Wakati huo huo Waziri wa fedha ameahidi kuwa wataachia trilioni tano kuingia kwenye mzunguko bila kueleza zinatoka wapi na kwa kazi gani.

Mazingira haya yanatoa fumbo kubwa kwamba nchi yetu inaendesha kisiasa zaidi na kwa uongo kitu ambacho ni kinyume kabisa na ndimu za viongozi kwa wanannchi.

Upo uwezekano kabisa hazina pamekauka na wabunge wa CCM wanalijua na ndio sababu yakushindwa kusimama na wananchi wakati wa bajeti na kupelekea serikali kupitisha tozo zinazowaumiza wananchi na kuua uchumi kwa jumla badala ya kuukuza
 
Shigongo amewaomba wananchi kuwa wavumilivu na kulipa too ya miamala ya simu tuweze kuinua uchumi ambao umepiromoka, amewataka wananchi kuvumilia machungu kwa miezi kuanzia kumi na nane au zaidi...

2847454_Screenshot_20210717-205013.png
 
Upo uwezekano kabisa hazina pamekauka na wabunge w ccm wanalijua na ndio sababu yakushindwa kusimama na wananchi wakati wa bajeti na kupelekea serikali kupitisha tozo zinazowaumiza wananchi na kuua uchumi kwa jumla badala ya kuukuza
 
Shigongo amewaomba wananchi kuwa wavumilivu na kulipa too ya miamala ya simu tuweze kuinua uchumi ambao umepiromoka, amewataka wananchi kuvumilia machungu kwa miezi kuanzia kumi na nane au zaid...
Kama imekauka Asiseme huo ndio UKWELI Hazina itakuwaje kukiuka kwa Kuwalipa Wabunge Fake,Kununua Wapinzani
Mishahara Minono ya Wabunge Magari ya Kifahari
 
Shigongo Ni Mmojawapo ya Watu wanaodiwa Regulatory Levy na Ewura Kiasi Cha M.13 ni Zaidi Ya Mwaka Sasa Kampuni Yake ya Mafuta ya Shigongo Oil Company hawajalipa Regulatory Levy Kwa Ewura Ila Nashangaa Anapiga Domo Tu.
 
Shigongo Ni Mmojawapo ya Watu wanaodiwa Regulatory Levy na Ewura Kiasi Cha M.13 ni Zaidi Ya Mwaka Sasa Kampuni Yake ya Mafuta ya Shigongo Oil Company hawajalipa Regulatory Levy Kwa Ewura Ila Nashangaa Anapiga Domo Tu.

Kwani kudaiwa ndio inamzuia mtu kutoa maoni yake??

Kama anadaiwa atalipa, au amekuambia halipi?
 
Shigongo Ni Mmojawapo ya Watu wanaodiwa Regulatory Levy na Ewura Kiasi Cha M.13 ni Zaidi Ya Mwaka Sasa Kampuni Yake ya Mafuta ya Shigongo Oil Company hawajalipa Regulatory Levy Kwa Ewura Ila Nashangaa Anapiga Domo Tu.
Mil 13?
 
Magufuli kalamba mzigo wote hazina kaenda kununulia midege ,na kununua wabunge wa upinzani, na mamiradi yake mfululizo
 
Shigongo amewaomba wananchi kuwa wavumilivu na kulipa too ya miamala ya simu tuweze kuinua uchumi ambao umepiromoka, amewataka wananchi kuvumilia machungu kwa miezi kuanzia kumi na nane au zaidi.

Kauli hii inakuja wakati ambao ripoti ya timu ya wataalam iliyoundwa kuchunguza fedha zilizotumika kutoka hazina kwa miezi mitatu ikidai kwamba hakuna fedha zilizokwapuliwa

Itakumbukwa siku chache kabla kifo Cha Jpm tuliaminishwa uchumi wetu upo 6.8 lakini baada tu yakufariki tukaambiwa uchumi upo 4.8

Wakati huo huo Waziri wa fedha ameahidi kuwa wataachia trilioni tano kuingia kwenye mzunguko bila kueleza zinatoka wapi na kwa kazi gani.

Mazingira haya yanatoa fumbo kubwa kwamba nchi yetu inaendesha kisiasa zaidi na kwa uongo kitu ambacho ni kinyume kabisa na ndimu za viongozi kwa wanannchi.

Upo uwezekano kabisa hazina pamekauka na wabunge w ccm wanalijua na ndio sababu yakushindwa kusimama na wananchi wakati wa bajeti na kupelekea serikali kupitisha tozo zinazowaumiza wananchi na kuua uchumi kwa jumla badala ya kuukuza
Na wewe usiwe mpumbavu ilimradi tuu Kuanzisha thread.

Hivi mods mnaruhusuje mada za kishenzi kama hizi.

Kitu hata halijasoma maelezo ya Waziri wa Fedha eti pesa itatoka wapi..

Afu aliyekwambia hazina imekauka nani? Acha upumbavu,hazina ingekauka uchumi ungeanguka,mishahara na mambo mengine ya kuendeshea serikali serikali imeajiri na kupandisha watu madaraja pesa zilitoka wapi?

Waziri wa fedha yuko clear kabisa kwamba fedha za tozo za mafuta na miamala ndizo zitatumika kupelekwa kwenye uchumi, tofauti ni kwamba wakati siko kwako na kwangu tija yake ni ndogo ila zikikusanywa na Serikali zinarudishwa kwenye uchumi kwa njia ya miradi ya barabara,maji,mahospotal,shule nk hapo zitakuwa zimerudi kwa tija na hiyo transactions itakuwa imekuza uchumi.

Pia alisema wazabuni wote wanaoidai serikali watalipwa pesa zao kiasi ya Tilioni 1 ambazo zikiingia mtaani zitaongeza mzunguko wa pesa na kuchangamsha uchumi.

Tozo mpya zilianzishwa Ili kuweza kufikia malengo kwa haraka mfano barabara Vijijini zimekatika kabisa na mvua,wamama wanatwmbea km za kuzidi kutafuta huduma za afya,kugombea maji na wanyama nk

Msiwe mnakurupuka kuaongea ilimradi msikike hapa if sio you tube kwamba ukiwa na likes za kutosha au followers kuna pesa utapata.

Mambo ni kama hivi 👇

IMG-20210717-WA0000.jpg


IMG_20210718_133058_302.jpg


IMG_20210718_133151_090.jpg
 
Wasiongeze hela mtaani Cha msingi tozo zipunguzwe iwe angalau 500 kwa muamala tuendelee kufight uchumi utakua waache kusumbua Uhuru wa maoni
Erick Anaingia Ugomvi Na Ccm Hatatoboa Lazima Alambishwe Sakafu
Kuna vitu vingine ni vya kujitakia. Alambe tu udongo. Kwani kuitangazia dunia kuwa Tanzania imefilisika ni jukumu lake? Inamsaidia nini?

Sawa na kumkosoa mkeo/mmeo hadharani wakati unaendelea kuishi naye.
 
M
Shigongo Ni Mmojawapo ya Watu wanaodiwa Regulatory Levy na Ewura Kiasi Cha M.13 ni Zaidi Ya Mwaka Sasa Kampuni Yake ya Mafuta ya Shigongo Oil Company hawajalipa Regulatory Levy Kwa Ewura Ila Nashangaa Anapiga Domo Tu.
Akalipe Kodi za serikali
 
Eric Shigongo ni mchochezi akamatwe aminywe korodani mpaka aseme nani kwambia kuwa hazina yetu imekauka.
 
Back
Top Bottom