Tulia ndugu na punguza presha; wewe ndio ulimsikia nani atakujibu? ilikuwa chombo gani cha habari maana mbowe kasema usiwe unasikiliza kila kitu unakiamini kichunguze kwanza-tetetetete joke mkuu
Jamani nina interest sana na siasa za Rombo (mcheza kwao...) Mnyika alikuwa anaongea Star TV. Mnyika haumo humu? Tunataka tuanze kuanalyse kama tutafanikiwa kulitia jimbo letu mikononi mwa CHADEMA, si mnajua Mramba Karudi?