GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kocha Mkuu " Timu yangu haina uwezo wa Kucheza na Waarabu hawa na sina Kikosi cha Kucheza nao kwani sikusajili kwa ajili ya Mashindano ya Kimataifa huu ndiyo ukweli na tusije Kulaumiana kama Matokeo yakiwa mabaya "
Makamu Mwenyekiti " Kama kuna Timu ambayo ni nyepesi, haina mpira wa Kutisha halafu inafunguki vizuri kabisa basi ni hii ya hawa Waarabu. Naomba kuwatoa hofu Wapuuzi FC wenzangu popote pale walipo kuwa tunaenda Kupindua meza na Klabu yetu itafuzu Makundi Klabu Bingwa Afrika "
Nasubiri majibu yenu.
Makamu Mwenyekiti " Kama kuna Timu ambayo ni nyepesi, haina mpira wa Kutisha halafu inafunguki vizuri kabisa basi ni hii ya hawa Waarabu. Naomba kuwatoa hofu Wapuuzi FC wenzangu popote pale walipo kuwa tunaenda Kupindua meza na Klabu yetu itafuzu Makundi Klabu Bingwa Afrika "
Nasubiri majibu yenu.