GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Haji Manara Simba kabla ya kucheza na UD SONGO alisema " Simba hii ni the best in Africa , Hii ni kwa ajili ya kushindana na wakubwa wenzetu TP MAZEMBE, AL AHLY, ESPERENCE , ZAMALEK, simba wasipofika nusu fainali kombe la afrika nitoswe baharini, hahaha ha nadhani Haji Manara ndio kubwa la mbu mbu mbu vichaa,
Kwamba hata akija Barca anakaa tuu...teh teh..........Haji Manara Simba kabla ya kucheza na UD SONGO alisema " Simba hii ni the best in Africa , Hii ni kwa ajili ya kushindana na wakubwa wenzetu TP MAZEMBE, AL AHLY, ESPERENCE , ZAMALEK, simba wasipofika nusu fainali kombe la afrika nitoswe baharini, hahaha ha nadhani Haji Manara ndio kubwa la mbu mbu mbu vichaa,
Chukua chochote kwa Mangi utalipa baadae [emoji3][emoji3][emoji3]Je, umejibu kulingana na Swali lililoulizwa au umejibu kwa Msaada wa Bange uliyovuta na Gongo uliyoamka nayo Asubuhi ya leo Ndugu?
MENINA FC kwisha habari yenuHaji Manara Simba kabla ya kucheza na UD SONGO alisema " Simba hii ni the best in Africa , Hii ni kwa ajili ya kushindana na wakubwa wenzetu TP MAZEMBE, AL AHLY, ESPERENCE , ZAMALEK, simba wasipofika nusu fainali kombe la afrika nitoswe baharini, hahaha ha nadhani Haji Manara ndio kubwa la mbu mbu mbu vichaa,
Ndiyo maana wanashindwa mitihaniJe, umejibu kulingana na Swali lililoulizwa au umejibu kwa Msaada wa Bange uliyovuta na Gongo uliyoamka nayo Asubuhi ya leo Ndugu?
Makamu mwenyekigoda ndiye kasema ukweli,sisi timu wananchi tunapenda Uwongo mtamu kuliko ukweli mchungu. Big up Mwakalibe.... kwa kutupa matumaini na tunasonga mbele,kifua mbele mpaka UbInGwA.Kocha Mkuu " Timu yangu haina uwezo wa Kucheza na Waarabu hawa na sina Kikosi cha Kucheza nao kwani sikusajili kwa ajili ya Mashindano ya Kimataifa huu ndiyo ukweli na tusije Kulaumiana kama Matokeo yakiwa mabaya "
Makamu Mwenyekiti " Kama kuna Timu ambayo ni nyepesi, haina mpira wa Kutisha halafu inafunguki vizuri kabisa basi ni hii ya hawa Waarabu. Naomba kuwatoa hofu Wapuuzi FC wenzangu popote pale walipo kuwa tunaenda Kupindua meza na Klabu yetu itafuzu Makundi Klabu Bingwa Afrika "
Nasubiri majibu yenu.