eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 314
1. Umelewa unaenda bafuni kukojoa kisha kwenye kioo unajiona sura yako na kusema "samahani sikujua kama kuna mtu " unatoka ili umsubiri amalize uingie.
2. Unarudi home uko mbwii unaanza tafuta cm yako, kumbe iko mezani. Unaamua kuichukua na kuwasha tochi, mara cm hio inalia unapokea na kumjibu alopiga kuwa apige badae kwani unatafuta cm yako.
3. Unatoka baa unaingia garini ile kuingia barabara kuu unakutana na lori la Dangote liko pale miaka 2 limepaki. Baada ya masaa 2 unaamua kupiga kelele kua, "mbona nyie hamsogei foleni gani hii"
Usicheke sana inaweza kuku tokea pia.
2. Unarudi home uko mbwii unaanza tafuta cm yako, kumbe iko mezani. Unaamua kuichukua na kuwasha tochi, mara cm hio inalia unapokea na kumjibu alopiga kuwa apige badae kwani unatafuta cm yako.
3. Unatoka baa unaingia garini ile kuingia barabara kuu unakutana na lori la Dangote liko pale miaka 2 limepaki. Baada ya masaa 2 unaamua kupiga kelele kua, "mbona nyie hamsogei foleni gani hii"
Usicheke sana inaweza kuku tokea pia.