Nani kati ya Vanessa Mdee na Ali Kiba ameteka soko la Africa

Nani kati ya Vanessa Mdee na Ali Kiba ameteka soko la Africa

Rosh Hashannah

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
3,415
Reaction score
2,043
Habarini wakuu

Hapa Africa kuna masoko (regions) meng tofauti. Kuna East Africa, West Africa (Ghana, Nigeria), South Africa, Francophone countries etc...

Kimataifa kuna America, Europe... Wizkid kajtahd

Tuangalie soko la Africa kwanza

Je kati ya kiba na Vanessa nan kateka soko?

Karbuni kwa mapovuu, mchango, mengneyo, etc
 
Kuna nini!??

Why this!!???
 
Vanessa ni mkubwa ukicheki hata mwaka huu ana shirikishwa sana kwny nyimbo za wasanii toka sehemu mbalimbali za nje.

Pia Vanessa alipata nomination yke kwanza mtv awards kabla ya mtv hawajamjua Kibakuli
 
Mi ni team Kiba ila Vanessa yupo juu ,mara yupo Ghana,mara South ,mara Spain .Namtabiria atafika mbali sana .Hii nafasi Shaa alishindwa kuitumia vizuri kipindi kile labda sababu mitandao haikuwa juu kama sasa, hata kura tulikuwa tunashindwa kuwapigia na kina AY.

Pia rekodi iwekwe vizuri keasasa Vanessa tunaweza sema ndo msanii anayekwea pipa kuzidi wote utawala huu wa baba jesca
 
Kumbe level za kibakuli mnazijiua hapo ndo level yake kumpambanisha mkome kumlinganisha na mondi wa kimataifa na dunia
 
Back
Top Bottom