Nani kawafundisha Botswana mambo ya nje ya uwanja mbona wanatisha hivi?

Nani kawafundisha Botswana mambo ya nje ya uwanja mbona wanatisha hivi?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Hawa Botswana wamekubuhu kwenye mbinu za nje ya uwanja, wanakufunga kwako kama umesinzia vile. Sijui wameimport product ya wapi inayowabeba kiasi hiki siku hizi.

Jwaneng Galaxy alimpiga Wydad kwake, waarabu wakabaki wameduwaa wakawashutumu kwa kuroga. Leo Botswana imempiga Cape Verde huko huko kwake. Wote mnakumbuka Cape Verde alivyosumbua kwenye AFCON ya mwisho, na wachezaji wengi waliocheza leo ni wale wale wa AFCON.

Wale Galaxy waliitoa Simba kwenye CAFCL katika mazingira ya ajabu sana. Simba ingewachekeachekea kwenye ile game ya goli 6 kingekuwa kilio kingine siku ile.
 
Wewe mbumbumbu kila siku unaleta uzi za kijinga, unawaza tu mpira wa nje wa uwanja kwa dunia ya kileo? Bado upo nyuma sana kwa ujinga. Ingekuwa wanategemea mikakati ya nje ya uwanja basi wasingeweza kufanya vizuri wakiwa ugenini. Mpira wa sasa hauna janja janja wa mipango ya nje ya uwanja bali ni uwezo. Hao Wydad majibu yamepatikana kuwa wabovu ndio maana walifungwa na ndio maana msimu huu hawashiriki mashindano ya CAF. Hakuna cha mambo ya nje ya uwanja wala nini.
 
Wewe mbumbumbu kila siku unaleta uzi za kijinga, unawaza tu mpira wa nje wa uwanja kwa dunia ya kileo? Bado upo nyuma sana kwa ujinga. Ingekuwa wanategemea mikakati ya nje ya uwanja basi wasingeweza kufanya vizuri wakiwa ugenini. Mpira wa sasa hauna janja janja wa mipango ya nje ya uwanja bali ni uwezo. Hao Wydad majibu yamepatikana kuwa wabovu ndio maana walifungwa na ndio maana msimu huu hawashiriki mashindano ya CAF. Hakuna cha mambo ya nje ya uwanja wala nini.
Umejibu swali rahisi kwa jazba na jasho jingi na mapovu,tatizo nini mkuu
 
Umejibu swali rahisi kwa jazba na jasho jingi na mapovu,tatizo nini mkuu
Unataka kujua tatizo? Tatizo ni makolo ni mambumbumbu wanashindwa kuleta maswali magumu wanaleta mpira wa kihisia wa nje wa uwanja hadi karne hii. Na huyo kolo mwenzio hajuagi kuleta uzi ambao unaweza kumtofautisha kati yake na mtoto wa darasa la kwanza.
 
Unataka kujua tatizo? Tatizo ni makolo ni mambumbumbu wanashindwa kuleta maswali magumu wanaleta mpira wa kihisia wa nje wa uwanja hadi karne hii. Na huyo kolo mwenzio hajuagi kuleta uzi ambao unaweza kumtofautisha kati yake na mtoto wa darasa la kwanza.
Lakini mkuu mpira ni mbinu tu, nakumbuka Botswana jana alifunga goli dk ya 3,na ilidumu mda wote walihakikisha majamaa hawapiti mbali na mpira kuwa upande mmoja lakini walijitahidi goli isirudi,kulinda goli dk 87 zote siyo mchezo ni utulivu mkubwa mno.
 
Wewe mbumbumbu kila siku unaleta uzi za kijinga, unawaza tu mpira wa nje wa uwanja kwa dunia ya kileo? Bado upo nyuma sana kwa ujinga. Ingekuwa wanategemea mikakati ya nje ya uwanja basi wasingeweza kufanya vizuri wakiwa ugenini. Mpira wa sasa hauna janja janja wa mipango ya nje ya uwanja bali ni uwezo. Hao Wydad majibu yamepatikana kuwa wabovu ndio maana walifungwa na ndio maana msimu huu hawashiriki mashindano ya CAF. Hakuna cha mambo ya nje ya uwanja wala nini.
Jombaaa...huyo mkeka umechanika..haujamwelewa tu?
 
Lakini mkuu mpira ni mbinu tu, nakumbuka Botswana jana alifunga goli dk ya 3,na ilidumu mda wote walihakikisha majamaa hawapiti mbali na mpira kuwa upande mmoja lakini walijitahidi goli isirudi,kulinda goli dk 87 zote siyo mchezo ni utulivu mkubwa mno.
Upo sahihi, ila mleta uzi yeye anaamini katika mambo ya nje ya uwanja ndiyo yaliyoifanya timu ya taifa ya Botswana na klabu ya Galaxy iwe inapata matokeo.
 
Unataka kujua tatizo? Tatizo ni makolo ni mambumbumbu wanashindwa kuleta maswali magumu wanaleta mpira wa kihisia wa nje wa uwanja hadi karne hii. Na huyo kolo mwenzio hajuagi kuleta uzi ambao unaweza kumtofautisha kati yake na mtoto wa darasa la kwanza.
Kwani si upite kushoto tuu braza..hapa unaonekana ww ndo mbumbumbu kwa kulipuka kama gas kwny comment...
 
Umejibu swali rahisi kwa jazba na jasho jingi na mapovu,tatizo nini mkuu

Kwani si upite kushoto tuu braza..hapa unaonekana ww ndo mbumbumbu kwa kulipuka kama gas kwny comment...
Achaneni naye huyo nilishampiga tofali zamani sana, post zake hata sizioni.

Kuna watu wanakuwa obsessed na wewe hadi unajiuliza huyu mtu mzima kweli.
 
Back
Top Bottom