Wadau nimekutana na makampuni wnahamisaisha watu kulima pilipili kichaa zinaitwa African bird eye. Wanasema ekari moja unaweza kuzalisha 160 Kgs/kavu/ wiki ambayo ni sawa na 640 kgs kavu kwa eka kwa mwezi na unavunaa kwa miezi saba kwa mwaka. Hii maana yake mapato ya ekari kwa mwaka ni 640Kg *7 *000 (bei)=20 Million Tsh. Wadau je haya nikweli au tunadanganywa?? Naomba ambaye analima hizi pilipili aniambie au atoe ushuhuda ili tuamie kabla ya kuingiza mitaji yetu shambani