Nani kawaroga hawa

Nani kawaroga hawa

RUSTEM PASHA

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2016
Posts
4,707
Reaction score
11,365
Lakini wanaume wa Dar nani kawaroga?? Wanaume wa mikoani tunakula ugali maharage nyie mnakula chips hadi mnaandaa matamasha ya kula chips mayai? Hivi hizi heshima kwenye ndoa zenu zitaletwa na ngumi? Jipangeni aisee.....watu wanahamasishana kula ugali wa dona,ugali wa muhogo...nyie mnatuletea vituko gani? Kuweni sirias aisee mnatutia aibu. Huku kwetu Nzega chips mayai inatumika kama mboga wakati wa kula dona nyie mnakula na mnalalia! Halafu baada ya miaka mnaanza kukimbilia kwa DR. MWAKA. Jaman acheni hizi aibu.
 
Nani kadanganya watu kuwa dona/daga au ugali wa muhogo ndio chakula cha kuweza kumfanya mume amridhishe mkewe?

Hapa nikiuliza wangapi wanakula mlo kamili "balanced diet" inawezekana asipatikane mtu. Wengine matunda hadi tuandikiwe na Dr. "Dona kilo, harage nusu kilo"..lol
 
Ishu kubwa kwa wanaume na vijana wa kiume ni mitindo ya maisha ndio inapelekea kuwa lege lege vitandani Chips ni ziada tu
 
Back
Top Bottom