Kuelekea kuanza kwa Mashindano mbalimbali yanayoratibiwa na Shirikisho la Soka Afrika 'CAF' tuzo ya Kiatu cha Goli Bora la CAF upande wa wanaume unafikiri itakwenda kwa mchezaji gani?
Mkuu, huwezi tabiri au kusema ni mchezaji fluan atakuwa mfungaji bora wa msimu (2023/2025.)Maana hutokea tu. Maada yako ingekuwa na nguvu/mvuto ungeuliza ni timu zipi zitafika makundi/robo/nusu final/final msimu wa 2023/2024