Prof. Mark Mwandosya.. hivi wanapeleka jina lenyewe saa ngapi?
Ila hilo la Membe limekuwa rumored kwa muda sasa.. lakini itakuwa ni kutangaza mgongano wa kudumu na watu wa EL kitu ambacho sidhani kama ni maslahi ya JK baada ya kufanya vibaya kwenye uchaguzi. Naamini kama siyo Pinda basi hawezi kuwa EL wala mtu yeyote ambaye alikuwa wazi katika kambi zile. Hivyo atakuwa mtu ambaye alikuwa yuko neutral sana Magufuli is one, na Mwandosya is the other.
mpwa na SI-HASA wapi na wapi bana weeeee!.......
hebu diliti thread yako ya ''kinoko''
Kama prof. Tibaijuka naye hakuchaguliwa, mwaka huu itakula kwa wengi. Ila pinda ajilaumu mwenyewe, maana yeye ni mwanasheria halafu alijisahau kama asipopigiwa kura hataweza kuwa waziri mkuu. Majuto ni mjukuu.
Hawa wasomi wetu wanaganga njaa tu. Huyu mama kwa level na exposure aliyonayo sikumtegemea kwamba angekuja kugombea ubunge ili angalau apate nafasi kwenye ufalme wa JK (apewe uwaziri). Hii yote inaelezea mwangwi (vacuum) uliopo kwa wanazuoni wetu. Si wabunifu na kazi pekee wanayoiona ya kuwaingizia kipato kirahisi ni ya kuingia kwenye siasa.
This is too low, angeweza kuanzisha taasisi ambayo ingewasaidia watanzania kuondokana na makazi duni na kuwapa elimu ya kujitegemea.
Mbaya zaidi ameingia kwenye chama kile kile cha 'business as usual' CCM!!
Binafsi namwona anafanana kwa kila kitu na kina Getrude Mongella, Mch. Lwakatare, Margareth Sitta, Batilda Buriani, Salma Kikwete, Vicky Kamata, Nakaaya Sumari, Sophia Simba, na waganga njaa wengine wengi. Sioni mwenye majibu sahihi na mbinu za kisayansi za kuwakomboa watanzania kutoka kwenye lindi la umasikini!!
Prof. Mark Mwandosya.. hivi wanapeleka jina lenyewe saa ngapi?
Huna pointi braza. Pinda na Tibaijuka wote wana sifa za kuwa mawaziri wakuu. Kwanza hakuna kifungu cha katiba kinacholazimisha kuwa waziri mkuu laziam awe mbunge wa kuchaguliwa, anaweza kuwa mbunge wa kuteuliwa. Pili, Pinda ni mbunge wa kuchaguliwa (sio wa kuteuliwa)...
]Prof. Mark Mwandosya[/COLOR].. hivi wanapeleka jina lenyewe saa ngapi?
Can you check again maana ya neno mwangwi... Sio vacuum!!!
Wana jf, kuna tetesi kuwa mbunge wa muleba prof. Anna tibaijuka huenda akateuliwa kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania badala ya mh. Pinda ambaye kikatiba amekosa sifa za kuwa waziri mkuu kwa kuwa siyo mbunge wa kuchaguliwa katika jimbo kama katiba inavyoagiza. Mwenye taarifa zaidi na hili atujuze.
Wana jf, kuna tetesi kuwa mbunge wa muleba prof. Anna tibaijuka huenda akateuliwa kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania badala ya mh. Pinda ambaye kikatiba amekosa sifa za kuwa waziri mkuu kwa kuwa siyo mbunge wa kuchaguliwa katika jimbo kama katiba inavyoagiza. Mwenye taarifa zaidi na hili atujuze.