Dr slaa ni waziri mkuu mmemsaahau...
hana lolote naye ni fisadi tuu,nashangaa mnavyomwona wa maana kuliko huyo speaker to be(Makinda),huyu alikuwa mbele sana kuzima hoja za kina Slaa mpaka alipoona maji mazito ikabidi aziachie tuu,kwanza nashangaa hakuwatimua bungeni wabunge waliokuwa wanatuhumiwa kwa ufisadi mpaka wasafishwe na vyombo vya sheria,hana lolote mnafiki tuu bora katolewa...na kisa cha kujenga jengo la spika huko kwao sijui urambo kwa billions zetu ni ufisadi wa hali ya juu,watakao saidia ile nchi wale wale kama kina Slaa waliopigana mpaka wengi wakafunguka macho sio hawa...they must go 2015!
Ni kweli ishu ya Richmond kuizima ilimpelekea RA na EL kushawishi watu kumsafisha Ndicho kilichomfanya Mh.6 nguvu zake zipungue sana nao wakatumia Magazeti Kama Rai, Mtanzania, HOJa na pesa kuwapa waandishi wamwandike vibaya ili aonekane ni mchochezi aliyetumwa na wapinzani kuimali CCM -Mafisadi kwani hakulinda Masirai yao, kama Mh.6 angekaza kamba hat kuchukua hatua ya kuwashitaki hata kuwanyanganya kadi ya CCM wasingemzuru, naamini hili sakata lingeisha salama lakni yeye kwa kutumia danganya toto hakuelewa, nakumbuka makamba na wanaCCM walienda kwake kumwona MAMA YAke 6 na kumwambia eti wako nyuma yake kumsapport 6 wakati kipindi fulani 6 alipokwenda kwao alipokelew na wananchi wa kwao na CCM ikazila baada ya magazeti kupamba picha kuwa wanaccm wantupa sita ndipo MNAFIKI MAKAMBA alienda kumpozaSitta aliyumba kwenye suala la RICHMOND. Akawapa nafasi wapinzani wake kummaliza. Ashukuru tu lile jaribio la mwanzo la kumchomolea kadi ya CCM halikufanikiwa. Mara hii wamemwondoa "kistaarabu" kabisa. Apewe ile wizara ya mkewe aongoze. Hana MSIMAMO IMARA Sitta wetu.
:bowl:Hata Prof Tibaijuka naye hakuchaguliwa, kama ndiyo sababu ya kukatwa Pinda, prof naye hayumo.
Mi natamani Pinda arudi
:bowl:
what do you mean, hakuchaguliwa???
kinachokufanya utamani pinda kurudi ni nini si kutamanitamani tuu umekuwa amani musician wewe
Kama prof. Tibaijuka naye hakuchaguliwa, mwaka huu itakula kwa wengi. Ila pinda ajilaumu mwenyewe,halafu alijisahau kama asipopigiwa kura hataweza kuwa waziri mkuu. Majuto ni mjukuu.maana yeye ni mwanasheria
Wana jf, kuna tetesi kuwa mbunge wa muleba prof. Anna tibaijuka huenda akateuliwa kuwa waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa tanzania badala ya mh. Pinda ambaye kikatiba amekosa sifa za kuwa waziri mkuu kwa kuwa siyo mbunge wa kuchaguliwa katika jimbo kama katiba inavyoagiza. Mwenye taarifa zaidi na hili atujuze.