Nani kuziba pengo la Elias Kwandikwa?

Wewe ni mpumbavu! Mbona hujamuweka Diamond Platinumz kwenye hiyo list yako?
 
Thubutu tu Mkuu.
 
Jafo mtoe hafai nafasi ile.
Anaongea sana na sanaa kibao zisizokuwa na ukweli kiutekelezaji
 
Kundi la damu lenye immunity dhidi ya magonjwa ya mfumo wa upumuaji!. Mungu Irehemu Tanzania.
 
Ukiitwa Mchawi utachukia? Yaani Msiba hata hauna Masaa Matatu tokea Watanzania tutangaziwe ( tutaarifiwe ) Liswahili Limoja linaacha Kusikitika na Kuomboleza Kwanza lenyewe linakimbilia Kuhoji nani atachukua nafasi yake. Shame on You..!!!
Usimuonee,huu ni mfumo tu.Magufuli alimteua na kumuapisha Mwigulu wakati Dr Maige hata sanda hajavalishwa.

Bi Mkola vilevile aliapishwa.
WACHAWI WAPO JUU
 
M
Makamba mwaondoe kabla sjamfuta haraka Sana anakibri Sana ondoa ondoa
 
Wote hawafai hata kwenye wizara yetu atuwataki
 
Sioni faida yoyote ya kuwa na waziri wa ulinzi, ikiwa hamna hata mmoja aliyewahi kuilinda nchi dhidi ya wahuni na vibaka wa CCM kama kina Sabaya, Bashite n.k
I like that so powerful[emoji109]
 
 
Nahodha afaaa......pia JM si mbaya hivyo.....ingawa hajatulia miaka hii 2 nyumba imemshinda....
 
January utopolo mlopokaji hovyo
 
Nadhani umefika wasaa wa kumrudisha Balozi wa Tanzania Brazil kada mzoefu wa ccm Ndg Emmanuel Nchimbi aje aongoze wizara ya ulinzi. Ana experience ya kutosha, pili ni kada aliyepikwa vizuri akapikika. Na half way integrity anayo na anakubalika miongoni mwa CCm asili, makinikia na CCm kanda ya ziwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…