[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahNimemsoma huyo black mamba uliyemuongelea, nimebaki nashangaa sijui huyo ni Koboko wa wapi, labda umeamua kuchukua kabila fulani la koboko lisilo maarufu kama Koboko wa Tabora
cjajua kama hana madhara hapi nili mvizia nikamdaka kichwaHana madhara mkuu?? Naona umemshika bila wasiwasi
je wana sumu za kudhuruwa juu anaitwa TWIG SNAKE
chini BROWN HOUSE SNAKE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti hadi mmalizane kwanza.Utakuwa humjui black mamba,
nyoka wote unaweza kucheza nao ila sio black mamba,
hanaga urafiki kabisa,
akihisi kwamba yoyote ameingia kwenye territory yake,
hakikisho la kwanza ni kukusaka hadi akupate mmalizane kwanza ndio mambo mengine yaendelee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na akipanua mdomo utafikiri Jeneza
Huyo ni shetani katika umbo la nyoka very aggressive
Huogopi wee?cjajua kama hana madhara hapi nili mvizia nikamdaka kichwa
Huyu koboko, lina mbio hatari [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu nani cobra au black mambaView attachment 1783808
Twig snake ana sumu lakini ni harmless(haidhuru kabisa labda utapata muwasho tuu)je wana sumu za kudhuru
Cobra nimewaua sana majira ya kiangazi, nilikuwa nikimwona, anatabia ya kuvimba kichwa na kusimamia mkia..hapo ndipo humpiga na kujivingisha kwenye runguongezea kwamba black mamba anaweza kusimama kwa robo 3 ya mwili wake na mkaangalia usoni!!
kiukweli ni stori tuu hakuna ukweli wa black mamba kuua kiwango hicho kwa mwaka ni very rare sana black mamba hujiepusha sana na shari sababu anajua hana uwezo wa kukumeza hivyo akiona kiumbe wakubwa hana kazi nao zaidi ya kukimbia!akikuuma ni kwa bahati mbaya alikuwa anajihami tuu.
king kobra ni mbabe zaidi labda ungempambanisha na rock python ndo saizi yake.
Kweli asee ndo maana alikua ani ng'ati ila kalinibana vidole vyangu hatari.Twig snake ana sumu lakini ni harmless(haidhuru kabisa labda utapata muwasho tuu)
brown house snake hana sumu kabisa ye ni mnyongaji tuu(constrictor).asilimia karibu 70 ya nyoka wengi hawana sumu lakini binadam kwa imani zetu tukiona nyoka tuu tunajua ana sumu na kumsulubu!!
sio vibaya wala sio vizuri sababu nyoka wenye sumu na wasio na sumu hufanana!
Nyoka ukimuogopa lazima atakudhuru, me hua nawapenda sana kuwa chezea.Ukiwaona huko kwako nikamatie niwachunguze.
[emoji16][emoji16] Acha masihara
CobraHuyu nani cobra au black mambaView attachment 1783808
Wazungu wametuambia tufanye hivyo kwenye vile vitabu vyao vya dini😁😁Twig snake ana sumu lakini ni harmless(haidhuru kabisa labda utapata muwasho tuu)
brown house snake hana sumu kabisa ye ni mnyongaji tuu(constrictor).asilimia karibu 70 ya nyoka wengi hawana sumu lakini binadam kwa imani zetu tukiona nyoka tuu tunajua ana sumu na kumsulubu!!
sio vibaya wala sio vizuri sababu nyoka wenye sumu na wasio na sumu hufanana!
Una hatari sana ndugu yangu...Kweli asee ndo maana alikua ani ng'ati ila kalinibana vidole vyangu hatari.
Me binafsi hua siui nyoka nawapenda kuwa chezea alafu nawapeleka sehemu salama ambayo najua hakuna mtu wa kuwadhuru.
Tuwapende nyoka bna...Una hatari sana ndugu yangu...
Si mpaka akipanua mdomo. Kichwa cha black mamba kina umbo la jeneza.Na akipanua mdomo utafikiri Jeneza
Huyo ni shetani katika umbo la nyoka very aggressive