BIG X JF-Expert Member Joined Nov 4, 2011 Posts 777 Reaction score 212 Jul 17, 2012 #1 Mwalimu mnoko anayewakamata wanafunzi wanaodesa darasani au Mwanafunzi mnoko anayemsema mwalimu vibaya kisa ameshindwa kudesa darasani wakati wa mtihani!!. Nani mbaya kuliko mwenzie!!.
Mwalimu mnoko anayewakamata wanafunzi wanaodesa darasani au Mwanafunzi mnoko anayemsema mwalimu vibaya kisa ameshindwa kudesa darasani wakati wa mtihani!!. Nani mbaya kuliko mwenzie!!.
BHULULU JF-Expert Member Joined Jun 28, 2012 Posts 4,994 Reaction score 2,028 Jul 17, 2012 #2 Mwanafunzi
EXTERMINATOR JF-Expert Member Joined Sep 8, 2011 Posts 343 Reaction score 90 Jul 17, 2012 #3 BIG X said: Mwalimu mnoko anayewakamata wanafunzi wanaodesa darasani au Mwanafunzi mnoko anayemsema mwalimu vibaya kisa ameshindwa kudesa darasani wakati wa mtihani!!. Nani mbaya kuliko mwenzie!!. Click to expand... Wote wanoko
BIG X said: Mwalimu mnoko anayewakamata wanafunzi wanaodesa darasani au Mwanafunzi mnoko anayemsema mwalimu vibaya kisa ameshindwa kudesa darasani wakati wa mtihani!!. Nani mbaya kuliko mwenzie!!. Click to expand... Wote wanoko
MARCKO JF-Expert Member Joined Jun 10, 2011 Posts 2,258 Reaction score 275 Jul 17, 2012 #4 Kudesa inasababisha tunapata watu kama kina Nchemba.