Nani mcheshi zaidi na mtu serious zaidi JF?

Nani mcheshi zaidi na mtu serious zaidi JF?

jerrysonkiria

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2014
Posts
2,228
Reaction score
2,901
Najua kila binadamu ana carrier yake wengine wako serious kama mimi na kuna wengine muda wote wao ni kufanya masihara na ucheshi wa hapa na pale.

Je nani ni mtu serious na mtu wa mizaha mingi Jamii forum?
 
Najua kila binadamu ana carrier yake wengine wako sirious kama mimi na kuna wengine muda wote wao ni kufanya masihara na ucheshi wa hapa na pale.

Je nani ni mtu sirious na mtu wa mizaha mingi Jamii forum?

You are not serious!
Angalia ulivyoandika (sirious), YOU ARE NOT SERIOUS!
 
Ww hapo
1475233714294.jpg
 
Kupaishana/kupeana kick
Tena wengine wana multiple ID wanajianzishiaga uzi au kujitajataja tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
hiyo tabia mbaya,ndo maana mi niliunganisha viID vyangu
 
Kumbe mada tu ,kwa hiyi nikiamua kujitangaza kikojozi nakua maarufu ?
acha uji'nga mkuu,humu kwa magreat thinker sasa ujitangaze kikojozi ili iweje?..kama kweli anzisha mada ukiomba msaada wa jinsi ya kuacha!
 
acha uji'nga mkuu,humu kwa magreat thinker sasa ujitangaze kikojozi ili iweje?..kama kweli anzisha mada ukiomba msaada wa jinsi ya kuacha!
Kwani umaarufu huwa una vigezo ? Yule mke wa Sugu Faiza huwa anafanya nini ? Si maarufu yule ?
Au Matonya marehemu yule omba omba vipi ?

Asante kwa ushauri mkuu japo sio kikojozi nilitaka tu kujua
 
Kwani umaarufu huwa una vigezo ? Yule mke wa Sugu Faiza huwa anafanya nini ? Si maarufu yule ?
Au Matonya marehemu yule omba omba vipi ?

Asante kwa ushauri mkuu japo sio kikojozi nilitaka tu kujua
kwani wapo humu JF??acha kukurupuka
 
kwani wapo humu JF??acha kukurupuka
Mbona sijakurupuka kwani huo umaarufu wa Jf unaongelea mambo tofauti na yaliyopo kwenye jamii zetu ? Kina Matonya si watu wanao tuzunguka ?

Unaponiuliza kama wapo humu Jf una maana ipi ?
Jamii forum watu si wana majina ya bandia except verified users , wewe unajuaje kama hawapo humu ?

Umaarufu wa humu uliniambia ni kuanzisha mada kuna jamaa kaanzisha mada anauliza kama kuna Sober house ya punyeto mbona hukumwambia aache ujinga kama ulivyoniambia mimi ?
 
Mbona sijakurupuka kwani huo umaarufu wa Jf unaongelea mambo tofauti na yaliyopo kwenye jamii zetu ? Kina Matonya si watu wanao tuzunguka ?

Unaponiuliza kama wapo humu Jf una maana ipi ?
Jamii forum watu si wana majina ya bandia wewe unajuaje kama hawapo

Umaarufu wa humu uliniambia ni kuanzisha mada kuna jamaa kaanzisha mada anauliza kama kuna Sober house ya punyeto mbona hukumwambia aache ujinga kama ulivyoniambia mimi ?
sasa humu kuna omba omba??halafu hilo la punyeto niliuliza kama zipo,na wewe inabidi uulize dawa ya kuacha kukojoa,kikojozi wewe
 
Back
Top Bottom