Nani Mkali kati ya Diamond na Chris Brown?

KumfananisHa Criss Brown Na Diamond Ni Sawa Na Kufananisha Kitambi na Mimba
 
hujui mziki kabisa mkuu...how diamond na C.brown?au umetoka usingizini ukakurupuka kwenye jamii forum
 
Diamond angekuwa marekani CB asingemuingia hata nusu. Tatuzo yuko bongo
 
Eminem na nani sasa? labda na FidQ, sidhani kama huyo Eminem atawafikia kina Profesa Jay na Mr. Two kwa sasa jamaa wanavuta mpunga kibao bungeni kwa sasa?
Unajua ili Eminem aimbe wimbo mmoja kwenye show anatoza bei gani?
 
Mtoa maada upo sawa lkn? Nahis ipo haja ya kwenda kupimwa akili
 
Ngoja kwanza tumuite Mamba Oil Chafu Konkii Konki Konkii Master...
 
Chris Brown kwa Ali Kiba tu aingii ndio atamuweza Diamond!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…