elixer of life
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 633
- 624
Fid q mwenyewe anakiri Video zake mbovu. So zinaharibu ubora wa Muziki wake.
Kwasasa Joe Makini ndiye Bora
Video sio tija kama maneno sio na style haviko ki hip hop halisi inabidi uje kunakuimba na kuchana katika hip hop yaani fid anachana hatari ila joh anaimba kunasiku nilikisia wanamzungumzia chemical na rose ree kuwa nani ni mkali ukweli ni kwamba chemical ni moto mwingineFid q mwenyewe anakiri Video zake mbovu. So zinaharibu ubora wa Muziki wake.
Kwasasa Joe Makini ndiye Bora
Kuna Rap na Rap singer.Video sio tija kama maneno sio na style haviko ki hip hop halisi inabidi uje kunakuimba na kuchana katika hip hop yaani fid anachana hatari ila joh anaimba kunasiku nilikisia wanamzungumzia chemical na rose ree kuwa nani ni mkali ukweli ni kwamba chemical ni moto mwingine
Mtafute na chemical ile uwe sureKuna Rap na Rap singer.
Eminem ni rap singer,meanwhile Twister ni raper.
So kuimba na kurap hakukuondoi kwenye ubora. Otherwise tukubali kua haaafanani, Hivyo haifai kuwalinganisha
Kuhusu Huyo Rozaree nimewahi kumsikia ila Chemical simfahamu. Hivyo siwezi kuwazungumzia
Poa Mkuu[emoji106]Mtafute na chemical ile uwe sure
kichwa chako hakina tija zaid ya kuwa ni bustani ya nyweleNi sawa Fid Q ana uharo kichwani kwa kusema hivyo mbele ya TV.
Ova
toa ushuzi wako hapa..rap singer ndiyo nini!?..mnaleta uchoko kwenye muziki wetu,mkitaka kuimba nendeni kwa Bella mkakate viuno..Kuna Rap na Rap singer.
Eminem ni rap singer,meanwhile Twister ni raper.
So kuimba na kurap hakukuondoi kwenye ubora. Otherwise tukubali kua Did Q na Joe Makini hawafanani,style, Hivyo haifai kuwalinganisha
Kuhusu Huyo Rozaree nimewahi kumsikia ila Chemical simfahamu. Hivyo siwezi kuwazungumzia
Peleka mavi huko....Ujui kitu.toa ushuzi wako hapa..rap singer ndiyo nini!?..mnaleta uchoko kwenye muziki wetu,mkitaka kuimba nendeni kwa Bella mkakate viuno..
Bonge la albam hyo mzee!!!Namuona jamaa kwenye avatar Distant relatives sio...
Patience track bora kwenye hiyo Album.
Ukiwa shabiki wa soka si lazima utoe maana kwny Hip hop. Ungekuwa karib ningekuzaba hata kibaokuna jamaa mwingine ana mashairi ya aina yake sana anaitwa "Stamina"
Hapo umeongea nn sasa?? Si bora ukafumbata midomo yako usikilize wakubwa wanaongea niniHaya mambo yalishindwa kumaliza utata kati ya HOV na Nas.
Rapper mkali katika nini?
Ukali wao unatakiwa ushindanishwe vipi? Kwa kura?
Mafanikio? Lyrics?
Kura zikapigwa Nas akashinda bado watu wakasema ni the so called " weaker anaposhindanishwa na mkali mashabiki wanamwonea huruma weaker".
Haya mambo magumu..ni kutoa matokeo kiushabiki tu.
Napenda Chorus ya yule dada anapoitaja Sabali in Egyptian accentNamuona jamaa kwenye avatar Distant relatives sio...
Patience track bora kwenye hiyo Album.
Mkuu hivi Roho saba yuko wapiDamian jr gong fundi Fid q pia fundi sana tu hapa kwetu alafu aliwahi kutokea jamaa anaitwa Roho saba huyu nae kwenye list ya wakali alikuwepo joh anaimba swagg sana ila pia anajua
Heheehaaaaaaaaa nmecheka sanakichwa chako hakina tija zaid ya kuwa ni bustani ya nywele