Nani Mkali kati ya Mboso na Asley

Nani Mkali kati ya Mboso na Asley

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Wote ni marafiki, walikuwa yamoto. Mmoja anasapotiwa na superbrand Clouds FM, mwingine anasapotiwa na Wasafi FM.
Wote wana nyimbo Kali, na wote ni wakali kushinda diamond(mzee) na alikiba(mzee)

Lakini ubishani ni mkubwa kuwa Nani ni Fundi zaidi. Toa maoni yako bila upendeleo
 
Umeharibu hapo ulipoweka Diamond na Kiba, hakukuwa na haja!
 
Hivi unahabari Japan wamezindua train yenye kasi zaid dunian... [emoji3][emoji3][emoji3]
Wote ni marafiki, walikuwa yamoto. Mmoja anasapotiwa na superbrand Clouds FM, mwingine anasapotiwa na Wasafi FM.
Wote wana nyimbo Kali, na wote ni wakali kushinda diamond(mzee) na alikiba(mzee)

Lakini ubishani ni mkubwa kuwa Nani ni Fundi zaidi. Toa maoni yako bila upendeleo
 
Kwa hapa bongo hakuna kama aslay.
Ila nimeambiwa ana nyodo. Siku zote huwa haziwafikishagi mbali
 
Mliosikiliza ngoma za hivi karibuni za Aslay, vipi amebadilika au bado anaimba kama anaongea?
 
Ni vyema ungeweka vipengele vya kulinganisha, kuna mambo mengine hatuwezi kulinganisha
 
Back
Top Bottom