jamiimemba
Senior Member
- Oct 30, 2014
- 156
- 39
Jaman hivi kati ya Ommy Dimpoz na Rich Mavocko nani mkali kwa kuimba na mistari mizuri? Maana tumebishana sana huku kitaa.
Kwahiyo siku hizi na Radio one mmehamia jf?
Mavoko ni mkali ila nadhani producer anayemtengenezea dimpoz nyimbo ndo anayefanya dimpoz aonekane anajua.
Mavoko-98%. Dimpoz-17%
Hahahaaa ungesema Dimpoz 2% bwana
Ommy dippoz anamanagement nzuri zaid ya mavoko ndio maana anaonekana mkali.
Kweli sio mkali.ila sio mkali?
Kweli sio mkali.
Mfano Mavoko ni mkali zaidi coz anakitu cha ziada.Mfano Diamond,ali Kiba,Barinaba hawa wanamuziki wenye kitu cha ziada.
Lakini Ommy Dippoz,Sijui Ney,Madee yaani kawaida hata kama wana tracks zinakuwa zina hits still wanakuwa wakawaida.