Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,819
sio mtazamo wako peke yako. Huu mziki hauna maana. wasikilizaji wake wakubwa ni Madereva wa daladala, watu wa bodaboda, wanywa viroba na watu wa ajabu ajabu ndo mziki wao. Utasikia "weka mguu juu dada" Sasa mimi najiuliza dada akiweka mguu juu wakati anacheza si itakuwa balaa.Huu muziki utaja pigwa marufuku mbeleni huko. Ni mtazamo wangu tu lkn
[emoji122][emoji122][emoji122] msaga sumu haimbi singeli!!!Msaga sumu haimbi kisingeli,anaimba style tofauti
Kisingeli kimepata jina kutokana na style ya uchezaji ambayo inatokana na aina ya beat inayoenda speed then mtu ana rap maneno
Kiufupi unaweza sema Msaga Sumu anaimba ila wakina man fongo wana rap
Kwa maana hiyo msaga sumu atabaki kuwa mfalme wa mziki wa uswazi lakin sio mfalme wa kisingeli
kuuuuum nyooooooooookMamaaaaaa aminaaaaaa.....
Weka weka Mwambaaaaa....Msaga sumu si ndo mwanzilishi hapo.
Halafu kuna dogo anaitwa Mc Dullah makabila, ansikika sana Efm ndo namkubali.
Si amini kama man4ongo atakuwepo kwa muda mrefu juu. Pia toka aende mawingu sija msikiliza sana.
Sio dogo niga anaitwa six galinya.Dogo nigga