R I P Kibonde, alikuwa mtu mbaya sana nayeye hasa kwenye boxing, mfn.... kaiiiiikeeee booooxing promotionTwendeni mbele turudi nyuma...kibonde alikuwa ni hatari.... alikuwa anaweza akabadilika kulingana na Aina ja jingle... mfano atangaze jingle ya football au ya boxing au za pale pale clouds....mfano Ile ya "zilizo Kiki"
Mungu akurehemu kibonde mashabiki zako tunaendelea kukumiss
RIP uncle Kibs
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] dah yaani nimeisoma Kwa sauti yake kimoyo moyo....uncle kibs [emoji22][emoji22]R I P Kibonde, alikuwa mtu mbaya sana nayeye hasa kwenye boxing, mfn.... kaiiiiikeeee booooxing promotion
Jamaa wa TV1 kawafunika wote hao "...haapa TiiiV 1 pekee" the guy ana vocal la Voice Over hao wote hamna kitu.
Kuna matangazo hayaitaji mtu mwenye vocal kali..hayo ndo yanayomfaa..analack vocal punch,au umemaanisha nini kusema sauti yake sio rafiki?Dozen na mchomvu walikuwa wako vzr ila nashangaa now days hawafanyi,Kenedy anajitahid ila saut yake siyo rafiki kabisa.
michepuuko siyo dili baki njia kuuKibonde daaaah
michepuuko siyo dili baki njia kuuKibonde daaaah
Mbudu the Boss