Nani mkweli, Mo Dewji au wanachama?

Nani mkweli, Mo Dewji au wanachama?

enzo1988

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2018
Posts
1,838
Reaction score
7,346
Kuna mgogoro unaendelea kwenye klabu kongwe ya Simba, kama unafuatilia vyombo vya habari na ukiwa mdau wa michezo hutashangaa! Kwenye mgogoro huu kuna makundi makuu mawili ambayo ni;

a) Wanachama: Kwa mujibu wa mchakato mpya wa mabadiliko ya uendeshaji (uwekezaji kwa mfumo wa hisa) hawa wanaumiliki wa asilimia 51 (51%).

Walichagua watu wao wa kuwasemea! Kama wanavyofanya sasa! Kwa uelewa wangu hizo asilimia 51 (51%) hazigusiki yaani haziuzwi!

b) Mo Dewji: Huyu bwana kupitia mchakato wa uwekezaji alipewa asilimia 49 (49%), naye alichagua watu wake wa kumsemea kama inavyofanyika sasa!

Tukumbuke mchakato bado unaendelea na bado haujafika mwisho, mfano serikali inataka vilabu hivi katika mfumo huu ziwe na zaidi ya mwekezaji mmoja!

Mfumo wa hisa unatoa asilimia 49 kwa wawekezaji kuanzia watatu kwenye klabu na asilimia 51 ni za wanachama. (Kauli ya serikali )

Mwisho wa siku Mo Dewji alifanikiwa kuwa mwekezaji pekee! Alitumia mbinu gani anajua yeye! Au kuna wawekezaji wengine mnawafahamu?

Wanachama 1,310 waliohudhuria mkutano mkuu wa Simba uliofanyika juzi kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam waliunga mkono ushindi wa Dewji.

Tuelewane sasa
Mchakato umeisha, hivyo kuna asilimia mia (100%) zote! au kuna tatizo? Wanachama 51% + 49% Mo Dewji = 100% a.k.a Simba Nguvu moja!

Kinachofuata?
Ni rahisi! Wanachama leteni watu wenu na mwekezaji alete wake ili tufanye kazi! Au kuna ubaya?? Watu saba (7) kutoka kila upande wakachaguliwa maana yake jumla ni 14

Hawa walipewa majukumu mama (maamuzi makubwa) ambayo ni
1)Usajili
2) Uwekezaji
3)Kuandaa bajeti
4) Masuala ya udhamini.

Wanachama: Haya sasa kila kitu kimekamilika, mwekezaji lete mzigo tuanze kazi. Mwekezaji, Natoa shilingi bilioni 20.

Swali : Bilioni 20 zilitakiwa ziingie moja kwa moja kwenye akaunti ya klabu au zifunguliwe akaunti nyingine?? Ukisikiliza wanachama wanaona kama zimechepushwa kwenye akaunti nyingine.( Elimu ni bahari).

Yaani kama unahisi utadhulumiwa unaamua kutengeneza mazingira ya kujilinda mapema!

Mafanikio:
Uwekezaji ulileta mafanikio mbalimbali au uongo? Unakumbuka ile kauli ya Kwa mkapa hatoki mtu?? Unaikumbuka ile Simba?

Kimetokea nini?

Hapa kila mtu ana lake na haujulikani ukweli upi! Lakini ukiunganisha nukta utagundua ugomvi mkubwa ni kuhusu maslahi! Mwekezaji vs wanachama. Sasa kuna maslahi ya mapana ya klabu vs maslahi ya kikundi kidogo cha wanachama, achana na mwekezaji kwani yeye anaangalia faida na anafanya biashara!

Mwekezaji ana hoja zake na wanachama wana hoja zao.
Mwekezaji: Naendesha timu kwa hasara na kuhujumiwa n.k!
Wanachama: Unataka kujimilikisha timu, hatuzioni bilioni 20, unadai mpaka misaada n.k!

Hitimisho
Mgogoro huu umeegemea zaidi kwenye maslahi, sasa kwenye hizo asilimia 51 (51) za wanachama hatujui ni maslahi mapana ya klabu yamezingatiwa?.Tunasikia mwekezaji anadai hela za mchicha, boksa!

Swali 1:
Hivi unaweza kutoa msaada bila kuombwa? Yaani unajisikia tu kutoa msaada tu wa mabilioni? Jiulize kupitia murtadha wa dunia ya kibepari ambayo inaendeshwa na msemo mkuu ambao ni "hakuna chakula cha bure "("there is no free lunch")

Swali 2:
Unaweza kufanya biashara kwa kupata hasara kwa miaka mingi?? Tangu umeanza uwekezaji wewe ni kupata hasara lakini hutaki kuiacha hiyo biashara! Inawezekana umeangalia mbali! Hasara miaka mitano, faida miaka 25!

Swali 3:
Hivi ukitumia akili zako siyo za kushikiwa huhisi kuwa kwenye misaada huwenda kulikuwa na makubaliano maalumu? Rejea, anayetoa msaada ni mfanya biashara tajiri!

Nb: Ni mtazamo wangu tu! Lete wa kwako!
 
Bilioni 20 zilikuwa kwaajili ya kununua 49% ya hisa za Sumba SC. Na kwamba hiyo fedha ingeingia kwenye akaunti ya Simba SC.

Na Simba mwenye 51% ndio angekuwa anaendesha club. Lakini imekuwa kinyume chake mwenye 49% ndio anaongoza Club.

Sasa imethibitishwa Mo hakununua hiza zozote Simba. Kwahiyo Simba SC bado ina 100% ya umiliki wake. Watangaze wawekezaji wajitokeze, tena hizo 49% wazigawe hata kwa wawekezaji watatu.
20240609_004426.jpg
 
Anaandika Mhe. Hamisi Kigwangwala

✍️ “Kama ni kudaiana tu, tena bila mikataba, basi na sisi wana @SimbaSCTanzania tunamdai mwekezaji pesa nyingi sana!”

“Tulimtaka aweke bilioni 20 kwenye account yetu ili tununue bonds, kumbe hakuweka! Kama angeweka tungenunua bonds za miaka 25, at a coupon rate of 15.95% tungepata faida ya bilioni 3.19 kila mwaka. Kwa miaka 7 aliyotuzubaisha bila mafanikio yoyote yale, tungevuna bilioni 22.33!

“Deni la pili: ni pesa alizotukosesha kutokana na ufadhili wa Azam - bilioni ngapi? Kwa mwaka ni bilioni 3. Kwa miaka 7 ni bilioni 21!

“Na yeye matangazo yake alikuwa analipia ufadhili kiasi gani?

“Tayari kwa haya mawili tu, tunamdai mwekezaji Glezabhai zaidi ya bilioni 43.33! Taja na wewe madeni mengine tunayomdai Glezabhai ili twende sawa!

“Halafu, Wajumbe wa Bodi waliokurupuka leo kutoka usingizini tuna jambo nao: watuambie walimpa Glezabhai mamlaka ya kumiliki timu yetu kwa msingi upi? Maana hakufuata prospectus ya mchakato wa transformation wa kampuni inavyotaka.

“Nimemuona Ndugu Issa akitumia Memorandum ya kampuni…how? Kama mchakato wa kulipia hisa haujakamilika hiyo document haina nguvu yoyote ile, ile bodi yao waliyokuwa wanakaa haina maana yoyote ile. Na wala Simba Sports Club haijauzwa na wala haidaiwi na mtu - kimsingi tumerudi GROUND ZERO!

“Ile bodi ilikuwa genge la watu walioiteka tu timu yetu kinyemela. Kwa taarifa za Ndg. Issa, maana yake Glezabhai hana haki wala mamlaka yoyote yale kisheria kwenye Simba. Simba SC ni club ya wanachama kwa asilimia 100.

“Wanachama tunamtaka Ndg. Mangungu aitishe mkutano mkuu haraka tuamue hatma ya club yetu. Kwenye mkutano huo aandae hesabu za mapato na matumizi ya Simba….kuanzia viingilio vya getini siku za mechi, mikataba ya mauzo ya bidhaa, mikataba ya mauzo ya haki za matangazo (ikiwemo ya bidhaa za Glezabhai, mbet nk), mapato ya CAF (robo fainali zote), n.k.

“Ndg. Mangungu na Kamati Tendaji wakishindwa kufanya hivi, tutaingilia kati kwa kuunda ‘kikosi kazi’ maalum (task force) cha kuiokoa club yetu.”
 
Hao wote watoke,simba si ya kumaliza y 3
 
Hawa viongozi wa wanachama nao wasituone hatuna akili...

Kinachoendelea hapa ni baada ya maslahi yao kuteteleka ndio wanaanza kutafuta huruma kwa wana Simba...

Kipindi Mo ametengeneza hundi ya uongo ya 20 billion ya ununuzi wa asilimia 49 za timu walikaa kimya...

Wasitufanye wajinga, hapa njia nzuri ni wao pia kujiuzuru ili tuunde bodi inayoaminika.
 
Umeeleza vizuri Ila umekisahau kikundi kingine kilichokuwa kinaongozwa na Kilomoni ambacho kilipinga jinsi mchakato ulivyoendeshwa.
Tatizo kubwa ni jinsi ulivyoendeshwa
1. Asilimia 49 zilitakiwa zimilikiwe na wawekezaji wasiopungua watatu lakini badala yake akapewa mwekezaji
 
Pesa haitaki maelezo mengi,wanachama wenye asilimia 51 waweke mzigo mezani.
 
Kuna mgogoro unaendelea kwenye klabu kongwe ya Simba, kama unafuatilia vyombo vya habari na ukiwa mdau wa michezo hutashangaa! Kwenye mgogoro huu kuna makundi makuu mawili ambayo ni;

a) Wanachama: Kwa mujibu wa mchakato mpya wa mabadiliko ya uendeshaji (uwekezaji kwa mfumo wa hisa) hawa wanaumiliki wa asilimia 51 (51%).

Walichagua watu wao wa kuwasemea! Kama wanavyofanya sasa! Kwa uelewa wangu hizo asilimia 51 (51%) hazigusiki yaani haziuzwi!

b) Mo Dewji: Huyu bwana kupitia mchakato wa uwekezaji alipewa asilimia 49 (49%), naye alichagua watu wake wa kumsemea kama inavyofanyika sasa!

Tukumbuke mchakato bado unaendelea na bado haujafika mwisho, mfano serikali inataka vilabu hivi katika mfumo huu ziwe na zaidi ya mwekezaji mmoja!

Mfumo wa hisa unatoa asilimia 49 kwa wawekezaji kuanzia watatu kwenye klabu na asilimia 51 ni za wanachama. (Kauli ya serikali )

Mwisho wa siku Mo Dewji alifanikiwa kuwa mwekezaji pekee! Alitumia mbinu gani anajua yeye! Au kuna wawekezaji wengine mnawafahamu?

Wanachama 1,310 waliohudhuria mkutano mkuu wa Simba uliofanyika juzi kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam waliunga mkono ushindi wa Dewji.

Tuelewane sasa
Mchakato umeisha, hivyo kuna asilimia mia (100%) zote! au kuna tatizo? Wanachama 51% + 49% Mo Dewji = 100% a.k.a Simba Nguvu moja!

Kinachofuata?
Ni rahisi! Wanachama leteni watu wenu na mwekezaji alete wake ili tufanye kazi! Au kuna ubaya?? Watu saba (7) kutoka kila upande wakachaguliwa maana yake jumla ni 14

Hawa walipewa majukumu mama (maamuzi makubwa) ambayo ni
1)Usajili
2) Uwekezaji
3)Kuandaa bajeti
4) Masuala ya udhamini.

Wanachama: Haya sasa kila kitu kimekamilika, mwekezaji lete mzigo tuanze kazi. Mwekezaji, Natoa shilingi bilioni 20.

Swali : Bilioni 20 zilitakiwa ziingie moja kwa moja kwenye akaunti ya klabu au zifunguliwe akaunti nyingine?? Ukisikiliza wanachama wanaona kama zimechepushwa kwenye akaunti nyingine.( Elimu ni bahari).

Yaani kama unahisi utadhulumiwa unaamua kutengeneza mazingira ya kujilinda mapema!

Mafanikio:
Uwekezaji ulileta mafanikio mbalimbali au uongo? Unakumbuka ile kauli ya Kwa mkapa hatoki mtu?? Unaikumbuka ile Simba?

Kimetokea nini?

Hapa kila mtu ana lake na haujulikani ukweli upi! Lakini ukiunganisha nukta utagundua ugomvi mkubwa ni kuhusu maslahi! Mwekezaji vs wanachama. Sasa kuna maslahi ya mapana ya klabu vs maslahi ya kikundi kidogo cha wanachama, achana na mwekezaji kwani yeye anaangalia faida na anafanya biashara!

Mwekezaji ana hoja zake na wanachama wana hoja zao.
Mwekezaji: Naendesha timu kwa hasara na kuhujumiwa n.k!
Wanachama: Unataka kujimilikisha timu, hatuzioni bilioni 20, unadai mpaka misaada n.k!

Hitimisho
Mgogoro huu umeegemea zaidi kwenye maslahi, sasa kwenye hizo asilimia 51 (51) za wanachama hatujui ni maslahi mapana ya klabu yamezingatiwa?.Tunasikia mwekezaji anadai hela za mchicha, boksa!

Swali 1:
Hivi unaweza kutoa msaada bila kuombwa? Yaani unajisikia tu kutoa msaada tu wa mabilioni? Jiulize kupitia murtadha wa dunia ya kibepari ambayo inaendeshwa na msemo mkuu ambao ni "hakuna chakula cha bure "("there is no free lunch")

Swali 2:
Unaweza kufanya biashara kwa kupata hasara kwa miaka mingi?? Tangu umeanza uwekezaji wewe ni kupata hasara lakini hutaki kuiacha hiyo biashara! Inawezekana umeangalia mbali! Hasara miaka mitano, faida miaka 25!

Swali 3:
Hivi ukitumia akili zako siyo za kushikiwa huhisi kuwa kwenye misaada huwenda kulikuwa na makubaliano maalumu? Rejea, anayetoa msaada ni mfanya biashara tajiri!

Nb: Ni mtazamo wangu tu! Lete wa kwako!
Kwa kifupi ni kwamba mo kaingizwa mjini. Hana uhalali wa kisheria kudai arudishiwe pesa zake kwa sababu ukiangalia kwa undani ni sawa na kusema alikua anatoa msaada, vile vile haiwezekani izo pesa zikaingizwa kwenye asilimia zake 49 kwa sababu mchakato wa mabadiliko uliishia njiani kwaiyo so far Mo hana hisa simba
 
Kuna mgogoro unaendelea kwenye klabu kongwe ya Simba, kama unafuatilia vyombo vya habari na ukiwa mdau wa michezo hutashangaa! Kwenye mgogoro huu kuna makundi makuu mawili ambayo ni;

a) Wanachama: Kwa mujibu wa mchakato mpya wa mabadiliko ya uendeshaji (uwekezaji kwa mfumo wa hisa) hawa wanaumiliki wa asilimia 51 (51%).

Walichagua watu wao wa kuwasemea! Kama wanavyofanya sasa! Kwa uelewa wangu hizo asilimia 51 (51%) hazigusiki yaani haziuzwi!

b) Mo Dewji: Huyu bwana kupitia mchakato wa uwekezaji alipewa asilimia 49 (49%), naye alichagua watu wake wa kumsemea kama inavyofanyika sasa!

Tukumbuke mchakato bado unaendelea na bado haujafika mwisho, mfano serikali inataka vilabu hivi katika mfumo huu ziwe na zaidi ya mwekezaji mmoja!

Mfumo wa hisa unatoa asilimia 49 kwa wawekezaji kuanzia watatu kwenye klabu na asilimia 51 ni za wanachama. (Kauli ya serikali )

Mwisho wa siku Mo Dewji alifanikiwa kuwa mwekezaji pekee! Alitumia mbinu gani anajua yeye! Au kuna wawekezaji wengine mnawafahamu?

Wanachama 1,310 waliohudhuria mkutano mkuu wa Simba uliofanyika juzi kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam waliunga mkono ushindi wa Dewji.

Tuelewane sasa
Mchakato umeisha, hivyo kuna asilimia mia (100%) zote! au kuna tatizo? Wanachama 51% + 49% Mo Dewji = 100% a.k.a Simba Nguvu moja!

Kinachofuata?
Ni rahisi! Wanachama leteni watu wenu na mwekezaji alete wake ili tufanye kazi! Au kuna ubaya?? Watu saba (7) kutoka kila upande wakachaguliwa maana yake jumla ni 14

Hawa walipewa majukumu mama (maamuzi makubwa) ambayo ni
1)Usajili
2) Uwekezaji
3)Kuandaa bajeti
4) Masuala ya udhamini.

Wanachama: Haya sasa kila kitu kimekamilika, mwekezaji lete mzigo tuanze kazi. Mwekezaji, Natoa shilingi bilioni 20.

Swali : Bilioni 20 zilitakiwa ziingie moja kwa moja kwenye akaunti ya klabu au zifunguliwe akaunti nyingine?? Ukisikiliza wanachama wanaona kama zimechepushwa kwenye akaunti nyingine.( Elimu ni bahari).

Yaani kama unahisi utadhulumiwa unaamua kutengeneza mazingira ya kujilinda mapema!

Mafanikio:
Uwekezaji ulileta mafanikio mbalimbali au uongo? Unakumbuka ile kauli ya Kwa mkapa hatoki mtu?? Unaikumbuka ile Simba?

Kimetokea nini?

Hapa kila mtu ana lake na haujulikani ukweli upi! Lakini ukiunganisha nukta utagundua ugomvi mkubwa ni kuhusu maslahi! Mwekezaji vs wanachama. Sasa kuna maslahi ya mapana ya klabu vs maslahi ya kikundi kidogo cha wanachama, achana na mwekezaji kwani yeye anaangalia faida na anafanya biashara!

Mwekezaji ana hoja zake na wanachama wana hoja zao.
Mwekezaji: Naendesha timu kwa hasara na kuhujumiwa n.k!
Wanachama: Unataka kujimilikisha timu, hatuzioni bilioni 20, unadai mpaka misaada n.k!

Hitimisho
Mgogoro huu umeegemea zaidi kwenye maslahi, sasa kwenye hizo asilimia 51 (51) za wanachama hatujui ni maslahi mapana ya klabu yamezingatiwa?.Tunasikia mwekezaji anadai hela za mchicha, boksa!

Swali 1:
Hivi unaweza kutoa msaada bila kuombwa? Yaani unajisikia tu kutoa msaada tu wa mabilioni? Jiulize kupitia murtadha wa dunia ya kibepari ambayo inaendeshwa na msemo mkuu ambao ni "hakuna chakula cha bure "("there is no free lunch")

Swali 2:
Unaweza kufanya biashara kwa kupata hasara kwa miaka mingi?? Tangu umeanza uwekezaji wewe ni kupata hasara lakini hutaki kuiacha hiyo biashara! Inawezekana umeangalia mbali! Hasara miaka mitano, faida miaka 25!

Swali 3:
Hivi ukitumia akili zako siyo za kushikiwa huhisi kuwa kwenye misaada huwenda kulikuwa na makubaliano maalumu? Rejea, anayetoa msaada ni mfanya biashara tajiri!

Nb: Ni mtazamo wangu tu! Lete wa kwako!
Ngoja inyeshe.....
 
Umeeleza vizuri Ila umekisahau kikundi kingine kilichokuwa kinaongozwa na Kilomoni ambacho kilipinga jinsi mchakato ulivyoendeshwa.
Tatizo kubwa ni jinsi ulivyoendeshwa
1. Asilimia 49 zilitakiwa zimilikiwe na wawekezaji wasiopungua watatu lakini badala yake akapewa mwekezaji
Dah! Huyu Swahiba wangu alisumbuliwa sana na vijana wa Mwekezaji pale alipokataa kutoa hati ya jengo la klabu! Kama angeitoa tu ile hati kwa Mhindi, basi muda huu tungekuwa tunaongea mengine.
 
MAKOLO YANARUKA NA KUKANYAGANA YANARUKA KINYAMA×2
 
Anaandika Mhe. Hamisi Kigwangwala

✍️ “Kama ni kudaiana tu, tena bila mikataba, basi na sisi wana @SimbaSCTanzania tunamdai mwekezaji pesa nyingi sana!”

“Tulimtaka aweke bilioni 20 kwenye account yetu ili tununue bonds, kumbe hakuweka! Kama angeweka tungenunua bonds za miaka 25, at a coupon rate of 15.95% tungepata faida ya bilioni 3.19 kila mwaka. Kwa miaka 7 aliyotuzubaisha bila mafanikio yoyote yale, tungevuna bilioni 22.33!

“Deni la pili: ni pesa alizotukosesha kutokana na ufadhili wa Azam - bilioni ngapi? Kwa mwaka ni bilioni 3. Kwa miaka 7 ni bilioni 21!

“Na yeye matangazo yake alikuwa analipia ufadhili kiasi gani?

“Tayari kwa haya mawili tu, tunamdai mwekezaji Glezabhai zaidi ya bilioni 43.33! Taja na wewe madeni mengine tunayomdai Glezabhai ili twende sawa!

“Halafu, Wajumbe wa Bodi waliokurupuka leo kutoka usingizini tuna jambo nao: watuambie walimpa Glezabhai mamlaka ya kumiliki timu yetu kwa msingi upi? Maana hakufuata prospectus ya mchakato wa transformation wa kampuni inavyotaka.

“Nimemuona Ndugu Issa akitumia Memorandum ya kampuni…how? Kama mchakato wa kulipia hisa haujakamilika hiyo document haina nguvu yoyote ile, ile bodi yao waliyokuwa wanakaa haina maana yoyote ile. Na wala Simba Sports Club haijauzwa na wala haidaiwi na mtu - kimsingi tumerudi GROUND ZERO!

“Ile bodi ilikuwa genge la watu walioiteka tu timu yetu kinyemela. Kwa taarifa za Ndg. Issa, maana yake Glezabhai hana haki wala mamlaka yoyote yale kisheria kwenye Simba. Simba SC ni club ya wanachama kwa asilimia 100.

“Wanachama tunamtaka Ndg. Mangungu aitishe mkutano mkuu haraka tuamue hatma ya club yetu. Kwenye mkutano huo aandae hesabu za mapato na matumizi ya Simba….kuanzia viingilio vya getini siku za mechi, mikataba ya mauzo ya bidhaa, mikataba ya mauzo ya haki za matangazo (ikiwemo ya bidhaa za Glezabhai, mbet nk), mapato ya CAF (robo fainali zote), n.k.

“Ndg. Mangungu na Kamati Tendaji wakishindwa kufanya hivi, tutaingilia kati kwa kuunda ‘kikosi kazi’ maalum (task force) cha kuiokoa club yetu.”
Wote fix tu.
 
Kuna mgogoro unaendelea kwenye klabu kongwe ya Simba, kama unafuatilia vyombo vya habari na ukiwa mdau wa michezo hutashangaa! Kwenye mgogoro huu kuna makundi makuu mawili ambayo ni;

a) Wanachama: Kwa mujibu wa mchakato mpya wa mabadiliko ya uendeshaji (uwekezaji kwa mfumo wa hisa) hawa wanaumiliki wa asilimia 51 (51%).

Walichagua watu wao wa kuwasemea! Kama wanavyofanya sasa! Kwa uelewa wangu hizo asilimia 51 (51%) hazigusiki yaani haziuzwi!

b) Mo Dewji: Huyu bwana kupitia mchakato wa uwekezaji alipewa asilimia 49 (49%), naye alichagua watu wake wa kumsemea kama inavyofanyika sasa!

Tukumbuke mchakato bado unaendelea na bado haujafika mwisho, mfano serikali inataka vilabu hivi katika mfumo huu ziwe na zaidi ya mwekezaji mmoja!

Mfumo wa hisa unatoa asilimia 49 kwa wawekezaji kuanzia watatu kwenye klabu na asilimia 51 ni za wanachama. (Kauli ya serikali )

Mwisho wa siku Mo Dewji alifanikiwa kuwa mwekezaji pekee! Alitumia mbinu gani anajua yeye! Au kuna wawekezaji wengine mnawafahamu?

Wanachama 1,310 waliohudhuria mkutano mkuu wa Simba uliofanyika juzi kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam waliunga mkono ushindi wa Dewji.

Tuelewane sasa
Mchakato umeisha, hivyo kuna asilimia mia (100%) zote! au kuna tatizo? Wanachama 51% + 49% Mo Dewji = 100% a.k.a Simba Nguvu moja!

Kinachofuata?
Ni rahisi! Wanachama leteni watu wenu na mwekezaji alete wake ili tufanye kazi! Au kuna ubaya?? Watu saba (7) kutoka kila upande wakachaguliwa maana yake jumla ni 14

Hawa walipewa majukumu mama (maamuzi makubwa) ambayo ni
1)Usajili
2) Uwekezaji
3)Kuandaa bajeti
4) Masuala ya udhamini.

Wanachama: Haya sasa kila kitu kimekamilika, mwekezaji lete mzigo tuanze kazi. Mwekezaji, Natoa shilingi bilioni 20.

Swali : Bilioni 20 zilitakiwa ziingie moja kwa moja kwenye akaunti ya klabu au zifunguliwe akaunti nyingine?? Ukisikiliza wanachama wanaona kama zimechepushwa kwenye akaunti nyingine.( Elimu ni bahari).

Yaani kama unahisi utadhulumiwa unaamua kutengeneza mazingira ya kujilinda mapema!

Mafanikio:
Uwekezaji ulileta mafanikio mbalimbali au uongo? Unakumbuka ile kauli ya Kwa mkapa hatoki mtu?? Unaikumbuka ile Simba?

Kimetokea nini?

Hapa kila mtu ana lake na haujulikani ukweli upi! Lakini ukiunganisha nukta utagundua ugomvi mkubwa ni kuhusu maslahi! Mwekezaji vs wanachama. Sasa kuna maslahi ya mapana ya klabu vs maslahi ya kikundi kidogo cha wanachama, achana na mwekezaji kwani yeye anaangalia faida na anafanya biashara!

Mwekezaji ana hoja zake na wanachama wana hoja zao.
Mwekezaji: Naendesha timu kwa hasara na kuhujumiwa n.k!
Wanachama: Unataka kujimilikisha timu, hatuzioni bilioni 20, unadai mpaka misaada n.k!

Hitimisho
Mgogoro huu umeegemea zaidi kwenye maslahi, sasa kwenye hizo asilimia 51 (51) za wanachama hatujui ni maslahi mapana ya klabu yamezingatiwa?.Tunasikia mwekezaji anadai hela za mchicha, boksa!

Swali 1:
Hivi unaweza kutoa msaada bila kuombwa? Yaani unajisikia tu kutoa msaada tu wa mabilioni? Jiulize kupitia murtadha wa dunia ya kibepari ambayo inaendeshwa na msemo mkuu ambao ni "hakuna chakula cha bure "("there is no free lunch")

Swali 2:
Unaweza kufanya biashara kwa kupata hasara kwa miaka mingi?? Tangu umeanza uwekezaji wewe ni kupata hasara lakini hutaki kuiacha hiyo biashara! Inawezekana umeangalia mbali! Hasara miaka mitano, faida miaka 25!

Swali 3:
Hivi ukitumia akili zako siyo za kushikiwa huhisi kuwa kwenye misaada huwenda kulikuwa na makubaliano maalumu? Rejea, anayetoa msaada ni mfanya biashara tajiri!

Nb: Ni mtazamo wangu tu! Lete wa kwako!
Mo ajitokeze na ishahidi kuwa Pesa aliweka wapi
 
Naona kipindi muhimu cha usajiri mmeamua kuleta migogoro, lengo ni nini? Na kawa tuma? Kwanini haya mambo hayakujadiliwa ndani?
 
Back
Top Bottom