Nani mlevi hapa?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Hivi nani anastahili kuitwa mlevi hapa?

Ikiwa mtu anakunywa bia moja au mbili na kutembea huku anayumba yumba na kuongea mambo ya ajabu ajabu au kufanya mambo ya ajabu


Na mtu ambaye ana uwezo wa kunywa bia zaidi ya 10 na hafanyi mambo ya ajabu wala hayumbi yumbi njiani wala kuongea vitu vya ajabu
 
Pombe ina kilevi, hivyo yeyote anaekunywa ni mlevi. Utakuwa umeelewa jibu mpaka hapo.
 
Wote walevi ukiwemo wew mana usingeuliza ivo
 
Mbona unakuwa mbeya mbeya, au kwavile umekosa hela za bia. RIP John Woka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…