Nani mmiliki wa Kiwanda cha Sita Steel?

Nani mmiliki wa Kiwanda cha Sita Steel?

adobe

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2009
Posts
2,775
Reaction score
1,882
Wana JF katika pitapita zangu nimekutana na kiwanda cha chuma kinaitwa SITA STEEL, na katika kuchunguza nikaambiwa kuwa hiki kiwanda ni cha waziri aliyejipambanua kama mpambanaji na ufisadi, nikajiuliza je waziri kumiliki kiwanda sio ufisadi nao?

Naomba anayejua zaidi kuhusu hiki kiwanda na uhusiano wake na huyu mtu atujuze kama kweli ni chake namshauri na Lowassa amgeuzie kibao kwani ni fisadi pia.

Sita Steel Rollings Ltd

Nawakilisha
 
Du una uelewa mdogo kweli wewe? Kwanza hujui kuwa ni kiwanda chake au vipi, harafu hata dhana yenyewe ya ufisadi huijui. pole lakini mdogo mdogo utafika
 
Du una uelewa mdogo kweli wewe? Kwanza hujui kuwa ni kiwanda chake au vipi, harafu hata dhana yenyewe ya ufisadi huijui. pole lakini mdogo mdogo utafika

ni kweli sielewi maana ya neno fisadi naomba nielimishe mkuu
 
Eheeeeee.....tumechoka sasa na tetesi....."No research no right to speak"

Bampami gold mining co ltd pale Witwatersrand RSA, sema sasa kama na mimi ni fisadi.

khaaaaa....yaani ukiona jina tu la kampuni linafanana na jina la kiongozi fulani sirikalini baaaasssssiiiiiiii fisadi fisadi fisadi.....loh
 
kiufupi hujui ulichoandika na hujui maana ya ufisadi na fisadi pia hujui aina za viwanda na ukubwa wa uwekezaji ktk hatua za viwanda.ushauri rudi shule mdogo wangu
 
Du mleta mada hapa hujafanya research kabisa, si cha SITA!!!! Ni business name or company hiyo na sijui angekuwa mjinga kiasi gani atumie jina lake direct. Na Team Lowasa ingemwacha kweli bila kumfichua??? Siasa ni rough sana.
 
Wana jf katikav pitapita zangu nimekutana na kiwanda cha chuma kinaitwa SITA STEEL, na katika kuchunguza nikaambiwa kuwa hiki kiwanda ni cha waziri aliyejipambanua kama mpambanaji na ufisadi,nikajiuliza je waziri kumiliki kiwanda sio ufisadi nao?Naomba anaejua zaidi kuhusu hiki kiwanda na uhusiano wake na huyu mtu atujuze kama kweli ni chake namshauri na lowasa amgeuzie kibao kwani ni fisadi pia
Nwawakilisha

Ufisadi ni nn kwako?
Kuwa waziri au kiongozi serikalini ni kosa kumiliki Mali/kiwanda/kampuni/nyumba au biashara?
Besides sijui kama ni kiwanda cha Samuel sitta ila sio kosa au ifisadi ikiwa chake kama anamiliki kihalali
 
Wana jf katikav pitapita zangu nimekutana na kiwanda cha chuma kinaitwa SITA STEEL, na katika kuchunguza nikaambiwa kuwa hiki kiwanda ni cha waziri aliyejipambanua kama mpambanaji na ufisadi, nikajiuliza je waziri kumiliki kiwanda sio ufisadi nao?

Naomba anayejua zaidi kuhusu hiki kiwanda na uhusiano wake na huyu mtu atujuze kama kweli ni chake namshauri na Lowassa amgeuzie kibao kwani ni fisadi pia.

Sita Steel Rollings Ltd

Nawakilisha

[h=1]Jai Shah[/h]

Owner, Sita Steel Rollings Ltd


LocationTanzaniaIndustryBuilding Materials



Mambo ni rahisi tu, goggle ni kila kitu!!!! Cha msingi kiwanda kinajulikana ni cha wahindi tangu kinaanzishwa!!! Sasa kama wahindi wameamua kuwa nyuma ya huyo unayemdhania mimi sijui. Hivi kweli mafisadi wangemwacha bila kumlipua?? Team Lowasa mna kazi sana.
 
Wana jf katikav pitapita zangu nimekutana na kiwanda cha chuma kinaitwa SITA STEEL, na katika kuchunguza nikaambiwa kuwa hiki kiwanda ni cha waziri aliyejipambanua kama mpambanaji na ufisadi, nikajiuliza je waziri kumiliki kiwanda sio ufisadi nao?

Naomba anayejua zaidi kuhusu hiki kiwanda na uhusiano wake na huyu mtu atujuze kama kweli ni chake namshauri na Lowassa amgeuzie kibao kwani ni fisadi pia.

Sita Steel Rollings Ltd

Nawakilisha

Acha kukurupuka dogo kiwanda cha wahindi hicho! Hivyo vijiwe unavyokaa havikufai!
 
Mleta mada huna tofauti na MBATATA mmoja nilimsikia kwenye daladala akisema MOI (Kitengo cha Mifupa Muhimbili) kinamilikiwa na Rais wa zamani wa Kenya-Daniel Arap Moi. Hakika COMMON SENSE siyo common; ni RARE sense:-(
 
Wana jf katikav pitapita zangu nimekutana na kiwanda cha chuma kinaitwa SITA STEEL, na katika kuchunguza nikaambiwa kuwa hiki kiwanda ni cha waziri aliyejipambanua kama mpambanaji na ufisadi, nikajiuliza je waziri kumiliki kiwanda sio ufisadi nao?

Naomba anayejua zaidi kuhusu hiki kiwanda na uhusiano wake na huyu mtu atujuze kama kweli ni chake namshauri na Lowassa amgeuzie kibao kwani ni fisadi pia.

Sita Steel Rollings Ltd

Nawakilisha

Mhh kwani mtu akimiliki kiwanda ni fisadi? tunakoelekea kubaya kwa kweli watanzania tuatogopa kumiliki mali hata tukizipata kwa njia safi, swala la jina pia sio ishu
 
Sita kiwanda cha wahindi,kipo siku nyingi hata lowassa na sita hawajui kama watatofautiana mawazo!
 
kiwanda kilianzishwa mnamo miaka 1990's na wamiliki walikuwa sita(6).kwa sasa baadhi walijitoa na wanaosimamia ni watoto wao mmoja anaitwa HITTEN NA MWINGINE JAY.Pia mzee mmoja ambaye mzazi wao anaish kenya ambako kuna kiwanda kingine kama hicho.
 
Back
Top Bottom