Nani mpiga kinanda bora kati ya hawa?endy sekedia na victor mkambi?

Nani mpiga kinanda bora kati ya hawa?endy sekedia na victor mkambi?

BENITOO

Member
Joined
Sep 7, 2011
Posts
14
Reaction score
7
Sekedia ni mpiga kinanda wa siku nyingi wa bendi ya akudo impakti,victor mkambi ni mpiga kinanda wa siku nyingi wa twanga pepeta...kwa pamoja ni wapiga vinanda hodari sana nchini,je wewe unadhani ni nani zaidi??
 
Back
Top Bottom